Hapana, umekosa
safi sana dada farkhina mi sio mtaalamu wa math ila kwa hili nimejaribu ku solve jibu ni hilo goodLet nyau be x...
Panya be y...
Mbwa be z....
Wacha tuchanganye kg zote hapo tunazozijua....10+20+24=54....
Katika hizo group hao wanyama wamejitokeza mara mbili mbili....
Maana yake...
2x+2y+2z=54....
Tutoe common 2 upande zote....
2(x+y+z)=2(27)....
Tugawe kwa 2 both sides...
Itakua hivi....
x+y+z=27.....
Kwa hiyo panya,paka na mbwa wote watafika uzito wa 27....
utafiti naomba zawadi yangu...
ume copy kwa farkhinaNitumie zawadi tafadhari
Let Paka = x
Panya = y
Mbwa = z
x + y = 10...........(1)
y + z = 20...........(2)
x + z = 24...........(3)
From equation (1)
Let x = 10 - y........(4)
y+ z = 20
(10 - y) + z = 24
y + z = 20
z - y = 24 - 10
y + z = 20
z - y = 14......(5)
From equation (5)
z - y = 14
z = 14 + y ..........(6)
Then, we have
y + z = 20
y + (14 + y) = 20
y + 14 + y = 20
y + y + 14 = 20
2y + 14 = 20
2y = 20 - 14
2y = 6
y = 3 (kwa hiyo Panya ana uzito wa 3kg)
From equation (4)
x = 10 - y
x = 10 - 3
x = 7 (kwa hiyo Paka ana uzito wa 7kg)
From equation (6)
z = 14 + y
z = 14 + 3
z = 17 (kwa hiyo Mbwa ana uzito wa 17kg)
Kupata uzito wa wote
= uzito(Panya + Paka + Mbwa)
= y + x + z
But y = 3, x = 7 and z = 17
= 3 + 7 + 17
=27kg
Cc: farkhina, utafiti
Nitumie zawadi tafadhari
Let Paka = x
Panya = y
Mbwa = z
x + y = 10...........(1)
y + z = 20...........(2)
x + z = 24...........(3)
From equation (1)
Let x = 10 - y........(4)
y+ z = 20
(10 - y) + z = 24
y + z = 20
z - y = 24 - 10
y + z = 20
z - y = 14......(5)
From equation (5)
z - y = 14
z = 14 + y ..........(6)
Then, we have
y + z = 20
y + (14 + y) = 20
y + 14 + y = 20
y + y + 14 = 20
2y + 14 = 20
2y = 20 - 14
2y = 6
y = 3 (kwa hiyo Panya ana uzito wa 3kg)
From equation (4)
x = 10 - y
x = 10 - 3
x = 7 (kwa hiyo Paka ana uzito wa 7kg)
From equation (6)
z = 14 + y
z = 14 + 3
z = 17 (kwa hiyo Mbwa ana uzito wa 17kg)
Kupata uzito wa wote
= uzito(Panya + Paka + Mbwa)
= y + x + z
But y = 3, x = 7 and z = 17
= 3 + 7 + 17
=27kg
Cc: farkhina, utafiti
Ntamwangalizia nani mimi?
Div 5 @ work!!Ntamwangalizia nani mimi?