Chemsha bongo

Chemsha bongo

utafiti

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
12,783
Reaction score
7,671
Naomba jibu
 

Attachments

  • 1389371604733.jpg
    1389371604733.jpg
    39.6 KB · Views: 626
Let nyau be x...
Panya be y...
Mbwa be z....

Wacha tuchanganye kg zote hapo tunazozijua....10+20+24=54....

Katika hizo group hao wanyama wamejitokeza mara mbili mbili....

Maana yake...

2x+2y+2z=54....

Tutoe common 2 upande zote....

2(x+y+z)=2(27)....

Tugawe kwa 2 both sides...

Itakua hivi....

x+y+z=27.....


Kwa hiyo panya,paka na mbwa wote watafika uzito wa 27....

utafiti naomba zawadi yangu...
 
Last edited by a moderator:
Nitumie zawadi tafadhari
Let Paka = x
Panya = y
Mbwa = z

x + y = 10...........(1)
y + z = 20...........(2)
x + z = 24...........(3)

From equation (1)
Let x = 10 - y........(4)
y+ z = 20
(10 - y) + z = 24

y + z = 20
z - y = 24 - 10

y + z = 20
z - y = 14......(5)

From equation (5)
z - y = 14
z = 14 + y ..........(6)
Then, we have
y + z = 20
y + (14 + y) = 20
y + 14 + y = 20
y + y + 14 = 20
2y + 14 = 20
2y = 20 - 14
2y = 6
y = 3 (kwa hiyo Panya ana uzito wa 3kg)

From equation (4)
x = 10 - y
x = 10 - 3
x = 7 (kwa hiyo Paka ana uzito wa 7kg)

From equation (6)
z = 14 + y
z = 14 + 3
z = 17 (kwa hiyo Mbwa ana uzito wa 17kg)

Kupata uzito wa wote
= uzito(Panya + Paka + Mbwa)
= y + x + z
But y = 3, x = 7 and z = 17
= 3 + 7 + 17
=27kg
Cc: farkhina, utafiti

 
Last edited by a moderator:
Let nyau be x...
Panya be y...
Mbwa be z....

Wacha tuchanganye kg zote hapo tunazozijua....10+20+24=54....

Katika hizo group hao wanyama wamejitokeza mara mbili mbili....

Maana yake...

2x+2y+2z=54....

Tutoe common 2 upande zote....

2(x+y+z)=2(27)....

Tugawe kwa 2 both sides...

Itakua hivi....

x+y+z=27.....


Kwa hiyo panya,paka na mbwa wote watafika uzito wa 27....

utafiti naomba zawadi yangu...
safi sana dada farkhina mi sio mtaalamu wa math ila kwa hili nimejaribu ku solve jibu ni hilo good
 
Last edited by a moderator:
Nitumie zawadi tafadhari
Let Paka = x
Panya = y
Mbwa = z

x + y = 10...........(1)
y + z = 20...........(2)
x + z = 24...........(3)

From equation (1)
Let x = 10 - y........(4)
y+ z = 20
(10 - y) + z = 24

y + z = 20
z - y = 24 - 10

y + z = 20
z - y = 14......(5)

From equation (5)
z - y = 14
z = 14 + y ..........(6)
Then, we have
y + z = 20
y + (14 + y) = 20
y + 14 + y = 20
y + y + 14 = 20
2y + 14 = 20
2y = 20 - 14
2y = 6
y = 3 (kwa hiyo Panya ana uzito wa 3kg)

From equation (4)
x = 10 - y
x = 10 - 3
x = 7 (kwa hiyo Paka ana uzito wa 7kg)

From equation (6)
z = 14 + y
z = 14 + 3
z = 17 (kwa hiyo Mbwa ana uzito wa 17kg)

Kupata uzito wa wote
= uzito(Panya + Paka + Mbwa)
= y + x + z
But y = 3, x = 7 and z = 17
= 3 + 7 + 17
=27kg
Cc: farkhina, utafiti
ume copy kwa farkhina
 
Last edited by a moderator:
Nitumie zawadi tafadhari
Let Paka = x
Panya = y
Mbwa = z

x + y = 10...........(1)
y + z = 20...........(2)
x + z = 24...........(3)

From equation (1)
Let x = 10 - y........(4)
y+ z = 20
(10 - y) + z = 24

y + z = 20
z - y = 24 - 10

y + z = 20
z - y = 14......(5)

From equation (5)
z - y = 14
z = 14 + y ..........(6)
Then, we have
y + z = 20
y + (14 + y) = 20
y + 14 + y = 20
y + y + 14 = 20
2y + 14 = 20
2y = 20 - 14
2y = 6
y = 3 (kwa hiyo Panya ana uzito wa 3kg)

From equation (4)
x = 10 - y
x = 10 - 3
x = 7 (kwa hiyo Paka ana uzito wa 7kg)

From equation (6)
z = 14 + y
z = 14 + 3
z = 17 (kwa hiyo Mbwa ana uzito wa 17kg)

Kupata uzito wa wote
= uzito(Panya + Paka + Mbwa)
= y + x + z
But y = 3, x = 7 and z = 17
= 3 + 7 + 17
=27kg
Cc: farkhina, utafiti



Hahahahaha WAHEED SUDAY wee mwisho yaani wadai zawadi mwanzoni tu kujibu swali lol😱😱😱
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom