Chemsha Bongo

Chemsha Bongo

Teknocrat

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2018
Posts
7,947
Reaction score
15,709
1700765599066.jpeg
 
Mi nikisema mmejazwa ujinga sasa mnaongea mengine. Kweli nimeshundwa mambo ya X+Y=Z, na hili linishinde?

Hapo hamna jibu sahihi. Anaejiamini aje tushushiane mistari. Hizo hesabu labda kwa kichaa.
Kuwa mpole tu....
Ni mambo ya IQ......sio kukariri 😂
 
Jibu ni kwamba hata wewe mtoa mada huna tofauti na mimi kwenye x+y.

Af uone watakavotililika kukujibu🤣🤣🤣😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
 
mozeh njoo hapa basi. Mwalimu mwingine huyu hapa. Kweli huyu alifundishwa hizi hesabu? Yeye na walimu wake wa hisabati wote,nawafutia madaraja(ila si ya kuvukia mitaani kwao). Ujinga mtupu. Yaani anatuona vilaza mpaka 7=42??? Af eti wanaumiza vichwa kujibu!!! Hili ni sawa na kuuliza kwenye dangulo wapo mabikra wangapi
 
Professa Joannah njoo uone ujinga ulioko hapa unambie kama ada huyu alolipiwa hastahili kurudisha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom