Jamaa wa NGO katoa point sana! Anasema serikali haiwekezi kwenye umeme ila inategemea wawekezaji. Toka enzi za nyerere hawaja invest kitu. Pili kwanin wafanyakaz wa tanesco na viongoz wa juu hawalipi bei tunazolipa wengine.
Duuh!!Kumbe Ngeleja anapewa unit 1400 za bure kila mwezi!!Kwa kweli Watanzania tunaibiwa huu uchungu wa ongezeko la 18% haujui kabisa unatuhusu tu sisi walala hoi.
Jamaa wa NGO katoa point sana! Anasema serikali haiwekezi kwenye umeme ila inategemea wawekezaji. Toka enzi za nyerere hawaja invest kitu. Pili kwanin wafanyakaz wa tanesco na viongoz wa juu hawalipi bei tunazolipa wengine.
kama ni mkinga basi hapo studio patachimbika...jamaa ni noma na huwa hana woga wowote... najua atawafunika wote hapo...tatizo lake huwa ana temper sana...anaweza kurusha ngumi muda wowote. please keep us updated kwa kuwa kuna mgao huku.
kama ni mkinga basi hapo studio patachimbika...jamaa ni noma na huwa hana woga wowote... najua atawafunika wote hapo...tatizo lake huwa ana temper sana...anaweza kurusha ngumi muda wowote. please keep us updated kwa kuwa kuna mgao huku.
Jamaa wa EWURA hamna kitu. Jasho tu lamtoka na kazi kusema mmmm,eeee,aaaa! Mtu 1 kasema EWURA ina coflict of interest katika kuamua ongezeko au punguzo la bei maana ina affect ile 1% yao wanayocharge kila mwezi!