cc mrs Lwakatare, na wenzie ambao majina nimeshahau ila namfahamu mzee wa upako anayegawa magari kama njugu. Sijapata bado. mama Lwakatare mme wako aliacha ndugu aliokuwa anawahudumia umewatelekeza lakini bado unasema unamtukuza Mungu sijui yupi. Unavaa nguo za millioni kila siku wakati kuna watoto yatima tena ndugu wa mme wako wanakosa ada ya Chuo kikuu wanahangaika????Ila jamaa wamegundua njia ya kupiga hela. Maana hata hawa manabii wa kwetu hapa wanaishi 'maisha kama malaika' in JPM voice.
Hahahhhaha kisaa kaweka picha ya chama lakoo Chelsea cyooNmependa war of champions