sarcomere1
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 305
- 571
Ni takriban miezi miwili tangu kuzinduliwa wa michuano ya African Football League (AFL) ambapo mabango ya matangazo ya umeme yalianza kufanya kazi kwa mara ya kwanza
Lakini katika hali ya kustaajabisha baada ya mechi chache tu kuchezwa uwanjani hapo, mabango hayo hayafanyi kazi tena na badala yake zimebandikwa stickers
Hivi kitu gani hakipo sawa kwetu sisi watanzania?
Lakini katika hali ya kustaajabisha baada ya mechi chache tu kuchezwa uwanjani hapo, mabango hayo hayafanyi kazi tena na badala yake zimebandikwa stickers
Hivi kitu gani hakipo sawa kwetu sisi watanzania?