kulyanganga
Member
- Nov 13, 2012
- 60
- 20
Wanajukwaa angalieni vizuri hii promotion ya cheka si halisi mfano siku chache zilizopita nilijiunga niliongea kwa dk 4 tu saa mbili usiku wananitumia meseji eti kifurushi chako cha TSH 400 kimekwisha sasa ina maana gani mtandao mkubwa kama huu kuwadanganya wateja? au dhana iko wapi ya unafuu wa mitandao ya simu nchini! mamlaka husika waangalie kwa umakini ikiwezekana hata wao wajiunge wajionee huu uongo!
maoni tu!
maoni tu!