Cheka upasue mbavu

Cheka upasue mbavu

mzee wa misele

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2015
Posts
366
Reaction score
46
CHEKA KIDOGO

Majambazi waliliteka gari moja lililokuwa limesheheni abiria. Baada ya abiria kusachiwa na majambazi hao na
kukutwa hawana pesa, majambazi wakasema kila mtu atapigwa viboko ( bakora ), kutokana na namba ya shati alilovaa. Aliyekuwa hana namba atasalimika.

Kazi ikaanza, jamaa alievaa jezi ya ROONEY wa Man U akapigwa fimbo 10, mwingine aliyevaa nguo ya 50 cent akapigwa 50, n.k. Sasa kwa pembeni kulikuwa na jamaa analia sana kila akijiangalia.

Kumbe alikua amevaa fulana limeandikwa 'MAGUFULI 2015' doh! Unajua kilichotokea... ngoja niweke simu chaji!!! Au kesho
 
Huyo alikuwa ni mkulu mbele ya jambazi Lowassa.

Hahahahhahhhahhhhhhahaha!!! Magufuli amemponza mkulu
 
Dah wew mbinifu sna, mim nlikuwa nmevaa flan ya ukawa no.1!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom