Cheka kimadoido

Cheka kimadoido

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
35,757
Reaction score
86,406
Jamaa mmoja alishikwa akiwa na mitambo ya kutengenezea gongo ikafika siku ya mahakamani akawekwa kizimbani mambo yakawa hivi...
Hakimu;unashtakiwa kwa kosa la kukamatwa na mitambo ya kutengenezea gongo mtuhumiwa una la ku jieleza..?
Mtuhumiwa;hakimu me sioni kosa hapo!
Hakimu;kivipi..?
Mtuhumiwa;me polis wamenikata na mitambo tu lkn sio gongo asa kosa langu hapo ni lipi..?
Hakimu;kosa lako ni hiyo mitambo uliyonayo inaweza kutengeneza gongo wakati sheria hairuhusu.
Mtuhumiwa;kama ndo hivyo basi nifungulieni na mashtaka ya kubaka..!
Hakimu;kwanini..?
Mtuhumiwa;maana hata hapa nlipo nnakifaa cha kubakia..!!

We ndo ungekuwa hakimu ungemjibuje..?
 
Jamaa mmoja alishikwa akiwa na mitambo ya kutengenezea gongo ikafika siku ya mahakamani akawekwa kizimbani mambo yakawa hivi...
Hakimu;unashtakiwa kwa kosa la kukamatwa na mitambo ya kutengenezea gongo mtuhumiwa una la ku jieleza..?
Mtuhumiwa;hakimu me sioni kosa hapo!
Hakimu;kivipi..?
Mtuhumiwa;me polis wamenikata na mitambo tu lkn sio gongo asa kosa langu hapo ni lipi..?
Hakimu;kosa lako ni hiyo mitambo uliyonayo inaweza kutengeneza gongo wakati sheria hairuhusu.
Mtuhumiwa;kama ndo hivyo basi nifungulieni na mashtaka ya kubaka..!
Hakimu;kwanini..?
Mtuhumiwa;maana hata hapa nlipo nnakifaa cha kubakia..!!

We ndo ungekuwa hakimu ungemjibuje..?
Asante nimecheka sana.Hoja ya mshtakiwa ni kali hakimu hatoweza kuijibu.
 
Jamaa mmoja alishikwa akiwa na mitambo ya kutengenezea gongo ikafika siku ya mahakamani akawekwa kizimbani mambo yakawa hivi...
Hakimu;unashtakiwa kwa kosa la kukamatwa na mitambo ya kutengenezea gongo mtuhumiwa una la ku jieleza..?
Mtuhumiwa;hakimu me sioni kosa hapo!
Hakimu;kivipi..?
Mtuhumiwa;me polis wamenikata na mitambo tu lkn sio gongo asa kosa langu hapo ni lipi..?
Hakimu;kosa lako ni hiyo mitambo uliyonayo inaweza kutengeneza gongo wakati sheria hairuhusu.
Mtuhumiwa;kama ndo hivyo basi nifungulieni na mashtaka ya kubaka..!
Hakimu;kwanini..?
Mtuhumiwa;maana hata hapa nlipo nnakifaa cha kubakia..!!

We ndo ungekuwa hakimu ungemjibuje..?
 
Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii safi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom