Cheka kidogo

Hakuna cha kubembelezana hapo.. Huo ni uroho tu.
 
Ndo nyie nyie mkimwagwa mnakuja humu na kulia lia ovyo mmeachwa!...vitu kama hivi vidogo vidogo vinaenhance mapenzi...ubabe peleka MUSOMA.

Nakuaminia Mkuu umewatell truth huo ni upendo sio uroho.haahaaa umenifurahisha uliposema ubabe apeleke Musoma km umewapatia vile ni wa kulekule
 

Noo... Nimekuruhusu chagua chochote unajivunga. Mimi nachagua kitu cha maana unanidokolea, unatafuta vita. Mbona alirudi na kurudi na kurudi. Kwa sababu ukiachilia mbali chakula kuna vitu adimu anapata.
 
Sikushangai.

Toka lini mchagga akajuwa maana ya mahaba!
 
Hapana. Wanashika shika vitu vingi sana. Utakuta mara akutumbue kipele. Mara akutoe kauchafu. Mara akushike kidefu. Hapo mnakula.
Hahahaaa, mkuu umenipiga chenga sio, wafundishwe wakishanawa wasishikeshike vitu watakula uchafu
 

Hahahahaha kwel we smart
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…