Cheka Kidogo

Dfour

Member
Joined
Mar 18, 2010
Posts
47
Reaction score
10
Walikutana madaktari watatu kwenye mkutano, Mchina, Mjerumani na Mtanzania, majadiliano yakawa hivi;

Mchina: Kuna case moja nchini kwetu, mtu alivunjika mkono ukakatwa, tukamtengenezea mkono wa bandia na sasa anacheza karate

Mjerumani: Hiyo ndogo, sisi Ujerumani mtu alivunjika miguu yote miwili ikakatwa, tukatengeneza ya bandia na sasa hivi ni mwanariadha ameshinda medali 3.

Mtanzania: Hizo zote cha mtoto, hapa kwetu hapo Bagamoyo tu alizaliwa mtoto hana kichwa tukamwekea nazi na sasa ni rais wa nchi,
 
kweli na hana akili kwa sababu nazi haina ubongo.
 
hivi hii habari/'joke' mbona imesambaa sana kweny mitandao, yaweza kuwa kweli au ni waTZ tu na mambo yao!?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…