Paje
JF-Expert Member
- Apr 24, 2010
- 1,185
- 486
duh mkuu satellite dish sio mbili tu, ni hadi nne zinatumika kwa wakati mmoja. just unaziunga kwa kifaa kinaitwa diseq switch. inaziunga dishes zooote zinakuwa kama single list of tvz/sidhani kama itakuja tokea mkuu...hata TV zenyewe huwezi kutumia satellite dish mbili kwa wakati mmoja.
na hiyo ya internet mbona tushaunganisha saaana