- Siku kutakapoguswa huko tu, utaona yatakayojiri mark my words! Maana watakuja mpaka humu ndani bila hodi! Maana kumbuka mstaafu wa idara ni a former military man,
hivi unajua alipokuwa soldier professional yake ilikuwa ni nini? Na aliyowahi kuyafanya live na hiyo professional yake, kwenye army? Yaani wee acha tu ndugu yangu!
Kaka weka hii wazi kaka umeniacha nadhani sio mimi tu tuko wengi twaitaji jua ,tafadhali sherehesha!