Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #61
naomba tujadili issues za meremeta na mambo yaliyomo humu. Nashukuru kwa pongezi (nisizozistahili kwani mtu yeyote anaweza kufanya ninachofanya na wapo wanaofanya zaidi). Lakini nyingine zinaniongezea maadui nisiowahitaji kwa kweli.[/QUOTE
Cuzin hii kitu mbona mimi nashindwa kusoma ipo na maandishi madogo sana nitapata wapi hard copy yake...je ipo online na kama ipo how...nitumie kwenye email basi
Ngoja nicheki kidogo cuz..