Cheating vs Money

Cheating vs Money

bhikola

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,133
Reaction score
1,668
kwangu mimi, ni rahisi kumsamehe mpenzi anaye cheat kuliko anayefuja au kukupiga pesa.
Kwako kipi ni rahisi?
 
Tuko tofauti aiseeh.unamoyo mkuu.yani bora kuchapiwa!!!!hapana aiseeh
 
kwangu mimi, ni rahisi kumsamehe mpenzi anaye cheat kuliko anayefuja au kukupiga pesa.
Kwako kipi ni rahisi?
Kwani unaavyosema kukupiga yani ni yule anaetaka umuhonge sana? Ama anakuibia??
 
Nikutane na mpiga pesa ila msaliti kwangu; NOOOOOOO! Uligawe tunda langu bureeee. Sio kweli. Nije kuchovya walivyochovya wengine. Noooooo please.
 
Nikutane na mpiga pesa ila msaliti kwangu; NOOOOOOO! Uligawe tunda langu bureeee. Sio kweli. Nije kuchovya walivyochovya wengine. Noooooo please.

Akiosha inakuwa mpya, by the way, tunakutana na wapenzi wachache sana, almost 0.01 percent ya ambao hawajachovywa wala kuchovya.
It makes no difference.
 
Akiosha inakuwa mpya, by the way, tunakutana na wapenzi wachache sana, almost 0.01 percent ya ambao hawajachovywa wala kuchovya.
It makes no difference.

Mkuu;
It makes such a big difference. Tofautisha "mpenzi" na my wife. Kama ni hao wa pembeni, sawa tu. Lazima uchapiwe. Upo wewe mlipa kodi ya nyumba, yupo mleta chakula, yupo mtoa fedha ya salon. Kila mmoja kapangiwa siku yake. Lakini ukipatwa na my wife a cheater, utalia kilio cha mbwa kidomo juu. Ina uma ka nini
 
Ukiwa mtumwa wa pesa ndo utaona hilo la ufujaji lina nguvu kuliko kucheat!!! Pesa zitatafutwa tu ila mtu kukucheat ni kuuchafua mwili... Haisafishiki hiyo
 
Back
Top Bottom