Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,487
mimi mbona home haina nguvu hiii wakati nikiweka ama ya 10000 kwa wiki au 20000 kwa wiki ina nguvuu ia nikisema niweke ya 200 wajanaja night offer inakuwa hola
yani hapo jibu rahisi ni hivi,
hiyo ya 20,000 posible upo mwenyewe au mpo watu wachache thats why speed kubwa.
Hio ya 200 mnaeza kuta mtaa mzima mnatumia thats why speed inadrop.
Mitandao ya simu wana kitu kinaitwa speed sharing wanaeza wakatoa labda 10mbps mtaani kwenu, inamaana mkiwa 10 kila mtu atapata 1mbps mkiwa 100 kila mtu ana 100kbps mkiwa elfumoja kila mtu 10kbps inakua like that mkuu