It is useless and sarcastic to be "chawa" in a poor country like yours, a kenyan friend told me, so guys let's stop this behaviour, be chawa of your own achievement!
It is useless and sarcastic to be "chawa" in a poor country like yours, a kenyan friend told me, so guys let's stop this behaviour, be chawa of your own achievement!
Nope wana achieve goal za mwingine na zao kidogo. Lakin effect wanayo iacha kwa jamii ni mbaya sana. Wanata kufanya kujitoa akili kwa mambo ya kipumbav liwe jambo la kawaida
It is useless and sarcastic to be "chawa" in a poor country like yours, a kenyan friend told me, so guys let's stop this behaviour, be chawa of your own achievement!
Nope wana achieve goal za mwingine na zao kidogo. Lakin effect wanayo iacha kwa jamii ni mbaya sana. Wanata kufanya kujitoa akili kwa mambo ya kipumbav liwe jambo la kawaida
Wao wanakuwa wajilenga wao hivyo ili wafaidike wanampgia mwingine debe na kumsujudia ili aweze kutimiza mambo yake na wao wapate ya kwao. Ukitaka kujua hilo tazama machawa wa magufuli waliokuwa wanasimamia sera zake kufa na kupona ndiyo hao hao sasa hivi wanapiga kelele kwa rais wa sasa muda mwingine wakikandia yale ambayo magu walikuwa wakimsifia nayo.
Kwa machawa unachobidi ufahamu wewe unayepigiwa debe ni kwamba, wanakuthamini kama wana cha kufaidi kutoka kwako basi.
It is useless and sarcastic to be "chawa" in a poor country like yours, a kenyan friend told me, so guys let's stop this behaviour, be chawa of your own achievement!
It is useless and sarcastic to be "chawa" in a poor country like yours, a kenyan friend told me, so guys let's stop this behaviour, be chawa of your own achievement!
Uchawa vs human herding, what is practice in Tanzania is human herding. Human herding in politics is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of flattering or working towards group objective and hypocrite, (uoga wa kuigiza yaani unafiki), a.k.a kujizima data, tuseme kuahirisha kufikiri kizalendo
Unyumbu wa kisiasa ni tabia ya wanaopewa dhamana huahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga wa kuigiza kwa viongozi wao, (unafiki), a.k.a kujima data a.k.a uchawa