Kuna bahadhi ya maeneo chawa ni kawaida, kama Magerezani na pale Ubungo Bus Terminal kwenye jumba la kupumzikia wageni, ukikaa pale ni lazima uondoke na mifugo, kama sio chawa basi kunguni.Kuna wale wa kwenye nguo na wa kichwani; kizazi hiki wanajua chawa ni nini?
Nini chanzo cha chawa? Uchafu tu?
Kipipi,Hahahah.....nahisi we tulikuwa tunawaza pamoja! Mara hii tu nimetoka kumwambia mtu abadili nguo maanake ilivyochafuka, duh awezapata hata chawa aisee!
Michael Scofield,Kuna bahadhi ya maeneo chawa ni kawaida, kama Magerezani na pale Ubungo Bus Terminal kwenye jumba la kupumzikia wageni, ukikaa pale ni lazima uondoke na mifugo, kama sio chawa basi kunguni.
Majibu ni haya mkuu!Na chawa wa kichwani pia? I see hahahaha
Maeneo ya vijijini ambayo kuna vumbi sana bado wapo..
JKT ikirudi na chawa watarudi.
Ila wahindi na waarabu nadhani bado wanao!
So unamaana siku hizi watu ni wasafi kuliko zamani?
Au sabuni na maji ilikuwa shida?
na funza jamani, wale wa miguuni, wanawasha si mchezo
kumbe wewe ni mdada halafu tunatokea wote itengulinyi duu unogagekule kwetu tunayaita "matekenya"
ha haaaaaaaaaa, za magono mlongo wangukule kwetu tunayaita "matekenya"
kumbe wewe ni mdada halafu tunatokea wote itengulinyi duu unogage