Naibu Mkurugenzi wa Itikadi, Mafunzo na Elimu kwa Umma wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Dorice Nicholaus Mpatili amesema chama hicho hakina uhusiano wa kimuundo na Chama cha Mapinduzi (CCM), badala yake kimebaki kuwa chama cha upinzani chenye msimamo wa kusimamia kile alichokiita kuwa ni haki za wananchi
Mpatili ametoa kauli hiyo akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza wakati akijibu tuhuma za hivi karibuni kutoka kwa aliyewahi kuwa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa Humphrey Polepole ambaye amekuwa akidai kwamba baadhi ya vyama vya siasa vya upinzani hapa nchini ikiwemo CHAUMMA ni 'project' ya CCM
Soma pia GE2025 - Polepole: ACT Wazalendo na CHAUMMA ni mradi wa kundi mtandao ambao wamewezesha
Mpatili ametoa kauli hiyo akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza wakati akijibu tuhuma za hivi karibuni kutoka kwa aliyewahi kuwa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa Humphrey Polepole ambaye amekuwa akidai kwamba baadhi ya vyama vya siasa vya upinzani hapa nchini ikiwemo CHAUMMA ni 'project' ya CCM
Soma pia GE2025 - Polepole: ACT Wazalendo na CHAUMMA ni mradi wa kundi mtandao ambao wamewezesha