😁😁Wamemaliza awamu ya kwanza next ni ukaribisho wa mwamba,covid 19+vigogo wa CCM.
Nadhani hiyo ndio sababuNGUVU zimewaishia walipo ona Mbowe hajawaunga mkono
Waliingizwa chaka kwa sasa hawana la kufanya.CHAUMA mlikuja na nguvu ya kutisha. Naona pumzi imekata. Labda sababu ya maokoto. Mikutano haipo kama vile Chama kimekufa. Amkeni tunawasubiri.
Sawa mpenda tigoWaliingizwa chaka kwa sasa hawana la kufanya.
Wamemaliza awamu ya kwanza kwa mafanikio makubwa sana kwa kutumia chopa, sasa tunasubiri infantry ianze kazi!
Wanasubiri bajeti ya ubwabwa Toka kwa mama.🤣🤣CHAUMA mlikuja na nguvu ya kutisha. Naona pumzi imekata. Labda sababu ya maokoto. Mikutano haipo kama vile Chama kimekufa. Amkeni tunawasubiri.
Wamemaliza awamu ya kwanza next ni ukaribisho wa mwamba,covid 19+vigogo wa CCM.
Ila wanasiasa hatari, Yaani mmepambana kujenga chama kwa miaka 20+ halafu unakuja kukiacha kisa kashinda usiyempenda, duh huku mkidai demokrasia🤣🤣🤣Wamefeli kabisa. Mikutano wameishia njiani. Baadala ya siku kumi na SITA wao wamefanya siku Saba. Halafu helicopter ili haribika na Mzee kuugua ghafla, so hakuna mafanikio Bali majanga.
Wanavizia watakaotemwa kura za maoni ccm labda...Awamu ya kwanza hawakuimaliza, waliishia njiani. Walipanga kuzunguka siku kumi na SITA wakaishia siku Saba na helicopter kuharibika.
Toka wazomewe kule musoma hawana hamu