Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,432
- 18,126
View attachment 37124
Nape siku zote anakuwa na majibu mabaya,ukipinga hoja yake facebook anakuremove kwenye friends zake,Hivi mpaka lini ataweza kukibia hoja za watu?kama anashindwa kumjibu mwananchi wa kawaida je anaweza kuwajibu viongozi wa ngazi za juu?