chatroom

mzabzab

JF-Expert Member
Aug 18, 2011
34,060
61,438
hivi humu jf kuna chatroom? kama ipo naomba mnielekeze jinsi ya kujiunga.
 
Ilikuwepo nikaamua kuifunga, mimba zisizotarajiwa ziliongezeka sana kiasi kwamba wana jamvi wengi wakawa wako busy na clinick na kupelekea michango jamvini kupungua
 
Ilikuwepo nikaamua kuifunga, mimba zisizotarajiwa ziliongezeka sana kiasi kwamba wana jamvi wengi wakawa wako busy na clinick na kupelekea michango jamvini kupungua

acha misifa, ulifunga wewe?, nwy mtoa mada naomba aende chitchat.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…