Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa Ushindi wa CHADEMA. CCM walinunua Wenyeviti wetu wawili Mwenyeti wa Kijiji na kitongoji Chato Mjini wakaamia Ccm, wametangaza Uchaguzi wa Mwenyekiti wa kitongoji na Mwenyekiti Kijiji *Limeimia lile neno lisemalo "HATA SASA BWANA AMETUSAIDIA"* tumeshinda Vyote Vimerudi Chadema Ahsante wana Chato kwa Uaminifu, ingawa Mtendaji wa kata ameamishwa amepelekwa kijijini katika Kata ya kachwamba wilayani Chato.