Ni jambo wazi kabisa, kwa nini kutimuliwa kwa akina Zitto CCM hawalali? Kama wanamuona anafaa si wamchukue akawe asset kwao? Wamtumie kama wanavowatumia akina Shonza? Mtela?
Mkuu hapo ndo hata mjinga kabisa atastukia hili dili, wao wanadai kuwaondoa hao kutakiua chama, sasa iweje kifo cha CHADEMA iwe msiba kw MACCM?
Yaani hii pre empty technique imetulia sana, Bravo CC