Charlie Sheen reveals he is HIV Positive

Charlie Sheen reveals he is HIV Positive

Kijana umechemka naona unamwaga mapovu sasa.
Yohana kaingiaje hapa?

Dah! Babu ww mbishi sana.

Ubishi wa aina yako unapatikana kwenye mihadhara tu.

Yani kule hakunaga kushindwa, ni kushinda tu, hata kwa hila.

Utamuita mtu hata kelbu, ili umtoe nje ya hoja na ww uwonekane mjuzi wa ligi mwisho wake ushinde.

Hicho ndicho ulicho kileta humu.

Watu wote wamekuachia ww mjadala,baada ya kugundua huna nia ya kueleweshana bali unalengo la kushinda.

Mkuu acha hizo, sio kila sehem kunahitajika ubishi.

Chingine jifunze kua na lugha mzuri/sio vineno vyenye kutia hasira upande wa pili.
 
Dah! Babu ww mbishi sana.

Ubishi wa aina yako unapatikana kwenye mihadhara tu.

Yani kule hakunaga kushindwa, ni kushinda tu, hata kwa hila.

Utamuita mtu hata kelbu, ili umtoe nje ya hoja na ww uwonekane mjuzi wa ligi mwisho wake ushinde.

Hicho ndicho ulicho kileta humu.

Watu wote wamekuachia ww mjadala,baada ya kugundua huna nia ya kueleweshana bali unalengo la kushinda.

Mkuu acha hizo, sio kila sehem kunahitajika ubishi.

Chingine jifunze kua na lugha mzuri/sio vineno vyenye kutia hasira upande wa pili.
Umemaliza? Au kuna mapovu ya ziada unataka kumwaga hapa ndugu muefeso.
 
Umemaliza? Au kuna mapovu ya ziada unataka kumwaga hapa ndugu muefeso.

Aluatana kahtaan bagheshi.....

Teh teh teh mwala ahene? Habari ja mashiku?

Nalokogisha iduguye mkorintho......
 
Last edited by a moderator:
CC Max shimba.

Maalim Kitoabu unakosea. kahtaan yupo kote kote


Dah! Babu ww mbishi sana.

Ubishi wa aina yako unapatikana kwenye mihadhara tu.

Yani kule hakunaga kushindwa, ni kushinda tu, hata kwa hila.

.

Al akhy lkareem faby huyu kiumbe hapo juu anaitwa Kitoabu hana thamani hatta ya sekunde moja ya kuitwa "Maalim".
Ni jidudu linaloropoka ovyo bila ufahamu.
Anasema sisi hutumia hila kutafuta ushindi halafu akiona maji ya shingo kwa kufunuliwa Upumbavu wake anamuita Maxshimba aje amkumbatie mpumbavu mwenzake.

Msome michango yake takriban Nyuzi zote kazi mipasho tu. Watu wanaleta Evidence to backed up their claims yeye ni kuropoka tu.

Huyu ni nyoka akhui. Tabia za kikatonta tupu zimemjaa.
Tena ana bahati mno umenishtua au angekimbia jumla km baba yake max.

Na hawa ndio wale kina Jongo.
Nuksi mno.
 
Last edited by a moderator:
Aluatana kahtaan bagheshi.....

Teh teh teh mwala ahene? Habari ja mashiku?

Nalokogisha iduguye mkorintho......
M'holla sana Bagheshi. Mahabali nnsoga tu. Mwamilemo mukorinto.
Olejja hale
 
Last edited by a moderator:
Mjadala haujafa bali umeuliwa na watemi,tena kwa makusudi.

Ahsanteni watemi.
 
wanasema alivyokua aki act kwenye two and a half men ndio alivyoua akishi hivyo kiuhalisia. I love comedy, hata nikiwa na stress kiasi gani nikitazama series hii lazima nipone tu. Binafsi nimesikitishwa sana na yaliyomsibu...ndio hivyo mipango ya mungu. Ila alikua anaongoza kwa kuchapa machangu wa hollywood. Lingine ni kwamba ukiwa malaya kwasababu yoyote lazima utakwaa haya magomjwa ya zinaa kubwa lao hiv.
 
Mjadala haujafa bali umeuliwa na watemi,tena kwa makusudi.

Ahsanteni watemi.
Kumbe kiswahili pia shida Kwako?

Kilichouliwa maana yake KIMESHAKUFA!
Au kuna kinachouliwa kikawa bado Hai?
Teh teh teh.
Dahh.
Nchi yangu inaangamia tartiiibu.
 
wanasema alivyokua aki act kwenye two and a half men ndio alivyoua akishi hivyo kiuhalisia. I love comedy, hata nikiwa na stress kiasi gani nikitazama series hii lazima nipone tu. Binafsi nimesikitishwa sana na yaliyomsibu...ndio hivyo mipango ya mungu. Ila alikua anaongoza kwa kuchapa machangu wa hollywood. Lingine ni kwamba ukiwa malaya kwasababu yoyote lazima utakwaa haya magomjwa ya zinaa kubwa lao hiv.
Mkuu Msimsingizie Mungu kwa matatizo ya watu wanayotaka wenyewe.
Mbona mkipata vilivyo vizuri hamsemi kazi ya Mungu? Mnabaki kumsifia mtu kwa elimu yake na ujanja wake. Mkiugua Ukimwi na Ebola na kupata ajali na balaa ndio mnasema kazi Mungu?
Acheni hii fikra potofu.
 
Mkuu Msimsingizie Mungu kwa matatizo ya watu wanayotaka wenyewe.
Mbona mkipata vilivyo vizuri hamsemi kazi ya Mungu? Mnabaki kumsifia mtu kwa elimu yake na ujanja wake. Mkiugua Ukimwi na Ebola na kupata ajali na balaa ndio mnasema kazi Mungu?
Acheni hii fikra potofu.

mkuu kuna kitu wataalamu wanakiita destiny, sijui kama unakifahamu, nimejaribu kutafsiri tu kwa kusema ni mipango ya mungu. Ila ninachojua ni mungu ndie ameshapanga wewe uwe hivyo ulivyo sasa na hata hapo baadae uweje, nikama wasemavyo hujafa hujaumbika, nimaana ileile yote ni mipango ya mungu. Sijui tofauti kati kazi na mipango, ila charles sheen hakupanga aje apate hiv! Tuko pamoja?
 
mkuu kuna kitu wataalamu wanakiita destiny, sijui kama unakifahamu, nimejaribu kutafsiri tu kwa kusema ni mipango ya mungu. Ila ninachojua ni mungu ndie ameshapanga wewe uwe hivyo ulivyo sasa na hata hapo baadae uweje, nikama wasemavyo hujafa hujaumbika, nimaana ileile yote ni mipango ya mungu. Sijui tofauti kati kazi na mipango, ila charles sheen hakupanga aje apate hiv! Tuko pamoja?
haihitaji kuwa mtaalamu wa aina yyt kutambua kuwa maisha yako yanaendeshwa na Nguvu yenye kukadiri kwa wenye iman wanaita MUNGU na Wasio na imani wakaita "Hatima" (Fate) lkn huwezi kusema mzinifu na mfanya mambo ya kishenzi km huyo hapo juu kule kupata kwake Ukimwi ni Mipango ya Mungu.
Huo ni uamuzi wake kuchagua kuishi maisha anayotaka yeye.

Mlevi wa Gongo km matumbo na Nicholas kesho wakifa kwa matatizo ya figo vipi watasema ni kazi ya Mungu Wakati wanakunywa mapuya yasio na kipimo?

You cant abuse yourself and blame divine fore ordainment
( predestination) my friend.

It is in your moments of decision that your destiny is shaped.

You can control your destiny, but not fate. !

Destiny means there are opportunities to turn right or left, but fate is a one-way street.
I believe we all have the choice as to whether we fulfil our destiny, but our fate is sealed.
You need to know the differences my friend.
 
Last edited by a moderator:
some people just need real life friend and be shown immense love to cure their 'inabilities'.

That's my recommendation as a medical doctor
 
Mjadala umebadilika, kutoka kwenye maswala ya Ukimwi mpaka kwenye maswala ya mungu.

Nahili ndilo lilikua lengo la Watemi.
 
I am a medical scientists and an owner of and hospital in Africa for many years. HIV doesn't exist in the sense we have all been made to believe. That is a fact,and I wrote a paper about this back when I was doing my first degree.
Here is a simple experiment that any of you can do right now to help you begin your quest for emancipation from mental slavery

We are told that the HIV strip tests like Determine and Unigold are very sensitive and specific in testing HIV antigens (the latter being more specific than the former) right?
Now take any of the strips and instead of blood put a few drops of urine. Then come here and tell me the results.
Deception please tag all the misinformed people you have been debating with.
iArmaniAdamson and crew.

The truth is stranger than fiction.
 
Last edited by a moderator:
I am a medical scientists and an owner of and hospital in Africa for many years. HIV doesn't exist in the sense we have all been made to believe. That is a fact,and I wrote a paper about this back when I was doing my first degree.
Here is a simple experiment that any of you can do right now to help you begin your quest for emancipation from mental slavery

We are told that the HIV strip tests like Determine and Unigold are very sensitive and specific in testing HIV antigens (the latter being more specific than the former) right?
Now take any of the strips and instead of blood put a few drops of urine. Then come here and tell me the results.
Deception please tag all the misinformed people you have been debating with.
iArmaniAdamson and crew.

The truth is stranger than fiction.

On behalf of other JF members,thank you very much for that important clue which contains a lot of useful information.But it is too sad that,almost all people who were debating with me do not have intention of knowing the truth,they just argue without knowing why they argue.Ofcourse,I will tag them strategically for this is very useful information they need to keep in mind.

By the way,we missed your contribution on these kinds of topics for so long,you are such an important person in these kinds of discussions as far as your profession is concerned.I think other doctors(MDs) will start to think twice when see your contributions since you can speak the same language with them.
KAVel Eiyer Mr. Mangi you can get something here.
 
Last edited by a moderator:
haihitaji kuwa mtaalamu wa aina yyt kutambua kuwa maisha yako yanaendeshwa na Nguvu yenye kukadiri kwa wenye iman wanaita MUNGU na Wasio na imani wakaita "Hatima" (Fate) lkn huwezi kusema mzinifu na mfanya mambo ya kishenzi km huyo hapo juu kule kupata kwake Ukimwi ni Mipango ya Mungu.
Huo ni uamuzi wake kuchagua kuishi maisha anayotaka yeye.

Mlevi wa Gongo km matumbo na Nicholas kesho wakifa kwa matatizo ya figo vipi watasema ni kazi ya Mungu Wakati wanakunywa mapuya yasio na kipimo?

You cant abuse yourself and blame divine fore ordainment
( predestination) my friend.

It is in your moments of decision that your destiny is shaped.

You can control your destiny, but not fate. !

Destiny means there are opportunities to turn right or left, but fate is a one-way street.
I believe we all have the choice as to whether we fulfil our destiny, but our fate is sealed.
You need to know the differences my friend.

pia wapo wanaopata HIV bila kuwa na wapenzi zaidi ya mmoja. na wengine hata bila kujua sex ninini...au wake/ wame waliopimwa HIV nakukutwa wao hawana ila wame/wake zao wana maambukizi, au machangu walio hiv negative, au waliongezewa damu yenye hiv mahospitalini bila kujua....., dah asa hapa ...mipango ya mungu...destiny na fate...Dah ushanichanganya hebu ongezea nyama na eneo hili nielevuke mkuu.
 
Last edited by a moderator:
I am a medical scientists and an owner of and hospital in Africa for many years. HIV doesn't exist in the sense we have all been made to believe. That is a fact,and I wrote a paper about this back when I was doing my first degree.
Here is a simple experiment that any of you can do right now to help you begin your quest for emancipation from mental slavery

We are told that the HIV strip tests like Determine and Unigold are very sensitive and specific in testing HIV antigens (the latter being more specific than the former) right?
Now take any of the strips and instead of blood put a few drops of urine. Then come here and tell me the results.
Deception please tag all the misinformed people you have been debating with.
iArmaniAdamson and crew.

The truth is stranger than fiction.

emu fafanua kwa kiswahili mkuu.
 
Last edited by a moderator:
I am a medical scientists and an owner of and hospital in Africa for many years. HIV doesn't exist in the sense we have all been made to believe. That is a fact,and I wrote a paper about this back when I was doing my first degree.
Here is a simple experiment that any of you can do right now to help you begin your quest for emancipation from mental slavery

We are told that the HIV strip tests like Determine and Unigold are very sensitive and specific in testing HIV antigens (the latter being more specific than the former) right?
Now take any of the strips and instead of blood put a few drops of urine. Then come here and tell me the results.
Deception please tag all the misinformed people you have been debating with.
iArmaniAdamson and crew.

The truth is stranger than fiction.

mkuu hebu tupe research ambazo umeshafanya mpaka sasa na matokeo yake...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom