Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,813
- 3,770
maswali gani unauliza?
Usiwe mzembe sana, soma comments
maswali gani unauliza?
Sasa mfano Mizimu ya Tanzania vijijini ambayo itakuwa karibu itakuwa inajua kiingereza!?Kulingana na historia ya huo mchezo
Charlie Charlie ni jina la mzimu au roho ya kishetani unayoikaribisha
Originally lilikua jina la mzimu wa mtoto aliyejulikana kama Charlie
But now ni utambulisho wa mzimu wowote ulio karibu
Hua wanaanza huo mchezo kwa maneno ya "Charlie Charlie are you there?"
Hapa una activate uwepo wa roho ya kishetani iliyo karibu yako
Then kama IPO,penseli ya juu itazunguka mpaka kwenye square yenye neno YES...kwa maana Nipo..
Kisha utauliza swali lolote unalohitaji na majibu yatakua katika mtindo huo Yes na No
(Boolean)
Ukitaka kuona effect ya mchezo huu nenda mahala panapo aminika kuwa na visa vya kutisha au mazingara..
Enjoy
aiseee
Huu mchezo usijaribu kucheza una masharti. Ubao wa Ouija.Kuna ubao una namba na herufi na maneno yes na no,unachofanya ni kuuliza kwenye ubao yale maswali ambayo majibu ni yes au no.wakati huo mkono wako uko kwenye ubao,iwapo umeuliza swali huku ukiwa unatrace yes na no kwa kitu maalumu na jibu mfano ni no mkono wako utasimama kwenye no.Ni mambo ya kiza kiza na ya hatari kuwasiliana na maroho
Sina uhakika na hili. Ila ubao wake upo hivi:kwakweliii
mkuu huo ubao ni special au unaweza kutumia wakwako ukachora kama inavyotakiwa
Usisahau kushusha Uzi wake.sawa kaka ngoja tufatilie kiundani
Aiseee we jamaaHuo mchezo ni mzuri kwa wanaobet
Unamuita huyo jini unauliza vp man u atashinda? Ikizunguka kwenye no unauliza tena man u atadroo ikizunguka kwenye no basi nenda kwenye mkeka weka man u kufungwa
Bora ufe huku unapata hela
Fursa hioAiseee we jamaa
Na ilikuwa inakuja ajili ya watoto acha aiseee3
ouija board ndo mbaya zaid
Hii kuna movie yake ipo netflix inaitwa hivyo hivyo OUIJA ni balaaaSina uhakika na hili. Ila ubao wake upo hivi:View attachment 1676323