Charlie Charlie is demonic challange?

Charlie Charlie is demonic challange?


 

Attachments

  • VID-20210113-WA0006.mp4
    2.9 MB
sio kirahisi hivyo.
Ni IMANI inayoitajika hapo.pia usisahau UNAINGIA maagano na majini
Huo mchezo ni mzuri kwa wanaobet
Unamuita huyo jini unauliza vp man u atashinda? Ikizunguka kwenye no unauliza tena man u atadroo ikizunguka kwenye no basi nenda kwenye mkeka weka man u kufungwa
Bora ufe huku unapata hela
 
Haha usiiqngalie uwiku mkuu inatisha mno... nyingine ni Sabrina, the doll na dabe6
Hatua niliyoifikia huwa siogopi muvi za kutisha bali nafurahia ubunifu uliyofanyika kwenye muvi. Shukrani kwa muvi! Ngoja niingie mzigoni.
 
Huo mchezo ni mzuri kwa wanaobet
Unamuita huyo jini unauliza vp man u atashinda? Ikizunguka kwenye no unauliza tena man u atadroo ikizunguka kwenye no basi nenda kwenye mkeka weka man u kufungwa
Bora ufe huku unapata hela
daaah
 
Huu mchezo usijaribu kucheza una masharti. Ubao wa Ouija.
Miongoni mwa sheria zake.

- Usiutumie ukiwa peke yako
-Usiutumie ukiwa nyumbani mwako
-Ukimaliza kukitumia ni lazima ukiage
-Kwa kuwa kina herufi na kina kitufe cha cha ubao cha kuongozea herufi zikitembea kwa kuonyesha herufi likapatikana jina la ZOZO katisha mchezo kiage sema kwa heri.
Nadhani moja ya kitu kibaya kinachoweza kumtokea mtumiaji ni kuwa possessed na spirits especially evil ones
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom