Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Nimecheka had kukohoa dahIfike wakati kila mtu mwenye akaunti insta apewe ukuu wa wilaya. hapo hapo kwenye akaunt yake awe DC
Nimecheka had kukohoa dahIfike wakati kila mtu mwenye akaunti insta apewe ukuu wa wilaya. hapo hapo kwenye akaunt yake awe DC
Absolutely,nilikua anawaza muda mrefu sanaHabari wakuu
Aisee huyu kijana namfuatiliaga sana kwenye kipind cha goodmorning wasafi fm ,yupo smart sana hasa mambo ya siasa ,anaijua siasa vilivyo ..
Anajua kuongea na kupangua hoja bila kubabaika ,namkubali sana ,nilitamani kumuona kwenye teuzi ,aisee huwa natamani sana afike mbali huyu jamaa ,yupo smart sana ..
Uzi tayarView attachment 1824045
Ni yeye mwenyewe anajipigia debe. Watu wamewehuka sana na teuzi nchi hiiMbona umechelewa au umeambiwa kuna nafasi iliyobaki?
Mshaanza basi naHabari wakuu
Aisee huyu kijana namfuatiliaga sana kwenye kipind cha goodmorning wasafi fm ,yupo smart sana hasa mambo ya siasa ,anaijua siasa vilivyo ..
Anajua kuongea na kupangua hoja bila kubabaika ,namkubali sana ,nilitamani kumuona kwenye teuzi ,aisee huwa natamani sana afike mbali huyu jamaa ,yupo smart sana ..
Uzi tayarView attachment 1824045
Si ndo anafanya kwa kuongea(mtangazaji)au ilitakiwa afanyejeTANZANIA ndio nchi pekee mtu anapewa sifa kwa kujua kuongea na sio kufanya jambo