Aliyekuwa Rais wa Liberia Charles Taylor leo katika mahakama ya The Hegue atahukumia mbele ya majaji watatu.
Kesi hiyo iliyokuwa na mashahidi 100 inamtuhumu bwana Taylor kuhusika na vita vya zaidi ya miaka 100 na watu zaidi ya milioni 20 walipoteza maisha. Imearifiwa walaiberia wanasubiri hukumu hiyo kwa hamu.
Sasa bongo ingekuwaje,,tungeweza kuwashtaki?
Kesi hiyo iliyokuwa na mashahidi 100 inamtuhumu bwana Taylor kuhusika na vita vya zaidi ya miaka 100 na watu zaidi ya milioni 20 walipoteza maisha. Imearifiwa walaiberia wanasubiri hukumu hiyo kwa hamu.
Sasa bongo ingekuwaje,,tungeweza kuwashtaki?