Lakini kilichoishangaza idara ya upelelezi ya nchi hiyo ni namna mauaji yalivyokuwa yakifanyika, kwani miili ya wanawake wote waliouawa ilikutwa ikiwa imelazwa chali upenuni mwa barabara huku ikiwa imepanuliwa miguu na pia ikiwa na mchanganyiko wa damu na mbegu za kiume katika sehemu zao za siri, kuashiria kuwa mhanga alikuwa amebakwa kabla ya kuuawa.
@Mtambuzi, kama kulikua na damu na shahawa kwenye miili ya wanawake wote waliouawa, kwa nini havikuchunguzwa (kama vina uhusiano na mtuhumiwa)