Yaani waende kisutu kabisa hata kesho nyie papaz mnajiona wasafi kumbe wachafu kabisaHao watu ni wabaya sana.. Huyo mkurugenzi wa nida kaenda kufukuza vijana wasio na hatia watendani wa chini kabisa huku akiendelea kula na waovu wenzake meza moja eti ili ajisafishe tumuone mtu mwema kumbe na yy ni jipu..
Hawa wanasiasa wanaturubuni sana akili zetu. Ingekuwa amri yng hao ni wakunyongwa kabisa