Wakuu polen na majukum nilikua nahitaj cherger ya blackberry kutoka mikonon mwa mtu kwa sababu ya dukan cwez kununua,hivyo nahita ya mkonon kwa bei rahis!
Ahsanten xana!
Kaka sio lazima utumie charger ya BB ambazo ni ghari hebu tafuta charger za Nokia,utapata kwa 10,000 jaribu zinaingiliana,hata mimi kuna wakati ndio nilikuwa natumia wakati nikitumia BB
Wakuu polen na majukum nilikua nahitaj cherger ya blackberry kutoka mikonon mwa mtu kwa sababu ya dukan cwez kununua,hivyo nahita ya mkonon kwa bei rahis!
Ahsanten xana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.