My son
Member
- Dec 17, 2017
- 9
- 5
Usemalo ni hakika....Ninachojua mm ....hakuna njia ya kum win mwanamke wako asichepuke .....coz wanawake Wanahuitaj vitu vingi sana km
1)muda wako
2) attention yako kwake
3) umjali kwa maneno na vitendo
4) kumuhudumia
5) kumfikisha kileleni
6) mwanaume uwe smart
7) zawadi zi mara kwa mara
8) uwe available kila atakapokuhitaji
9) muamala(pesa)
kutoka kwa mwanaume na...n vigumu mwanaume kutizimiza kila atakalo mwanamke
So swala LA mwanamke kuchepuka nalo ni hitaji LA mwanamke japo hawezi kukuambia