Chanzo Kikuu cha Watu walio kwenye mahusiano kuchepuka

Ninachojua mm ....hakuna njia ya kum win mwanamke wako asichepuke .....coz wanawake Wanahuitaj vitu vingi sana km
1)muda wako
2) attention yako kwake
3) umjali kwa maneno na vitendo
4) kumuhudumia
5) kumfikisha kileleni
6) mwanaume uwe smart
7) zawadi zi mara kwa mara
8) uwe available kila atakapokuhitaji
9) muamala(pesa)
kutoka kwa mwanaume na...n vigumu mwanaume kutizimiza kila atakalo mwanamke
So swala LA mwanamke kuchepuka nalo ni hitaji LA mwanamke japo hawezi kukuambia
Usemalo ni hakika....
 
Mambo ya wanawake mwechieni Mungu tu ,kwa uwezo wetu wa akili na maarifa hivi viumbe kwetu ni ngumu kuviridhisha kwa kila kitu
 
Kuchepuka ni tabia na hulka ya mtu uloyataja hapo juu yanachangia kiasi chake lakini sio sababu tosha za kumfanya mwanamke achepuke.
 
People chepuka for no reason,hilo ndo naamin,mtua akiamua kuchepuka atachepuka,sio pesa,sio kupigwa mashine,sio maudh,sio nin,unaweza,ukawa ma mpingo na akachepuka,unaweza ukawa good boy church boy na akachepuka akatafta playbo,unaeza ukawa na hela akachepuka akaenda kwa mlala hoi,...so mi naona hil swala hakuna namna.cha msing ni kulindana tuu kwamba anapozingua adhab yake apate,kama kuachwa aachwe etc,..same applies to both sex.
 
Mwanamke kuchepuka ni hulka hawaridhiki wewe mgegede tu afike vilima vyote kama huna pesa anachepuka tu.

Jiulize kama kapewa kucha safi na nzuri na muumba wake yeye anaweka za bandia.

Kapewa nywele nzuri yeye anaweka za bandia

Kapewa kope nzuri yeye anaweka za bandia

Kapewa makalio mazuri yeye kamuona mchina ndio mungu wake

Kapewa rangi nzuri yeye kauona mkorogo wa Kongo ndio bora zaidi

Kwahyo mwanamke hata umfanyie jambo gani zuri bado hatoridhika
Kumridhisha mwanamke labda mpaka pale atakapokufa ndio utasema ameridhika
anapewa mume mzuri yeye anatafuta mchepuko
 
Mwanamke kuchepuka ni hulka hawaridhiki wewe mgegede tu afike vilima vyote kama huna pesa anachepuka tu.

Jiulize kama kapewa kucha safi na nzuri na muumba wake yeye anaweka za bandia.

Kapewa nywele nzuri yeye anaweka za bandia

Kapewa kope nzuri yeye anaweka za bandia

Kapewa makalio mazuri yeye kamuona mchina ndio mungu wake

Kapewa rangi nzuri yeye kauona mkorogo wa Kongo ndio bora zaidi

Kwahyo mwanamke hata umfanyie jambo gani zuri bado hatoridhika
Kumridhisha mwanamke labda mpaka pale atakapokufa ndio utasema ameridhika
Mkuukwahiyo mwanamke tumfananishe na bata ?
Lakini pia kuna wanaume wanatania kama hizo nao je???
 
Mwanamke kuchepuka ni hulka hawaridhiki wewe mgegede tu afike vilima vyote kama huna pesa anachepuka tu.

Jiulize kama kapewa kucha safi na nzuri na muumba wake yeye anaweka za bandia.

Kapewa nywele nzuri yeye anaweka za bandia

Kapewa kope nzuri yeye anaweka za bandia

Kapewa makalio mazuri yeye kamuona mchina ndio mungu wake

Kapewa rangi nzuri yeye kauona mkorogo wa Kongo ndio bora zaidi

Kwahyo mwanamke hata umfanyie jambo gani zuri bado hatoridhika
Kumridhisha mwanamke labda mpaka pale atakapokufa ndio utasema ameridhika
Mkuukwahiyo mwanamke tumfananishe na bata ?
Lakini pia kuna wanaume wanatania kama hizo nao je???
 
Habari.

Hizi Ni sababu zinazomfanya mwanamme kuchepuka katika mahusiano/ ndoa

1. Kutoridhidhwa na mwanamke
2. Gubu ndani ya nyumba
3. Kubana bana papuchi bila mpangilio
4. Kutokuwa saafi
5. Nyingine ongezea wewe basi alaaa
6.
7.
8.
9.
10.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom