Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
Mara nyingi inatokea sisi wanaume tunakataa baadhi ya mimba kutokana na malengo tuliojiwekea kwa mwanamke husika! Mfano unaweza ukawa na demu lkn unaona kabisa huyu hafai kuowa ila mechi za kirafiki na outing za hapa na pale anafaa!
Mwingine utakuta upo nae kwa sababu tu unakupa ya pesa yote na nyongeza juu yaani bando la mwezi mzima la papuchi unapata! Sasa mwanamke akijipendekeza kupata mimba ataisoma namba kwa vile mtu huna malengo ya kuowa!
N:B
Ifike muda sasa swala la mimba iwe ni la kupanga kuliko kukurupuka tu kama mitano tena
Mwingine utakuta upo nae kwa sababu tu unakupa ya pesa yote na nyongeza juu yaani bando la mwezi mzima la papuchi unapata! Sasa mwanamke akijipendekeza kupata mimba ataisoma namba kwa vile mtu huna malengo ya kuowa!
N:B
Ifike muda sasa swala la mimba iwe ni la kupanga kuliko kukurupuka tu kama mitano tena