Chanzo cha mapenzi

Chanzo cha mapenzi

Bajeti ya kunguru

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2014
Posts
1,388
Reaction score
1,094
Habari zenu mabaharia wote mliomo humu. Mara nyingi mtu akiita mabaharia jinsia ya kike huwa wanajiweka pembeni sasa sio kwa salamu yangu,mimi nimewalenga nyote.

Sasa niende kwenye kaburi langu halafu nione kama nitatoka au nitafiamo mazima. Naita kaburi kwa sababu ni kazi ngumu sana kueleza mapenzi kwa watu na wakaelewa kwa kiwango kile kile ambacho menyewe hayaonekani lakini navaa bomu hili kama nitatoka poa kama litanilipukia basi. Sasa maisha ya ndoa nyingi yanategemea sheria za ndoa kuendesha uhai wake kitu ambacho ni kinyume na mapenzi ila dunia haijui kwahiyo hapa nilazima nikuwekee chanzo kwanza cha mapenzi kwani ukiujua mwanzo mwisho hautakusumbua.

Chanzo cha mapenzi ni nguvu iliyopo nje ya mwili wa mwanaume ambayo 99.999% ya wanaume hawaijui kama ipo na uwezo wake wa kufanya kazi ila wanawake wote wanaijua vizuri na wanaimani kwa 100% kila mwanaume anayo. Nguvu hii huwashwa/huwaka na kuzima. Chanzo cha kuwaka ni ukimya wa uumbaji (nauweka kiporo).

Sasa basi nguvu hiyo ndiyo inayotafutwa na wanawake na wakiipata basi safari yao inakuwa imefika mwisho yaani maisha kwao yanamaana kubwa endapo tu watafanikiwa kuipata nguvu hiyo. Majaribio mbalimbali hufanywa na wanawake sio kukupata wewe bali kujaribu kuiwasha nguvu hiyo,wewe ni mbebaji tu wa nguvu hiyo ambayo ndio chanzo cha mapenzi. Majaribio hayo ni kama kukuita jina lako kwa kulilemba,kuinama mbele yako akiigiza anaokota kitu na mengineyo (mitego).

Chukulia mnapita njiani usiku mkakutana hali ya joto njiani halafu mkalivuka kuna ukimya hutokea ghafla. Najaribu kuielezea nguvu hiyo ambayo huwashwa na ukimya wa uumbaji. Au chukulia mfano mvua inanyesha halafu umwambie mkeo muende buchani mkanunue nyama,ukiwa umeshika mwamvuli mkiwa katikati ya safari kwa kuonesha umeridhika usimame halafu umwambie kwa mahaba "nilikuwa sijawahi kuvuka barabara na wewe mvua ikiwa inanyesha" (hali ambayo itatokea hapo ndio ukimya wa uumbaji halafu itawasha nguvu hiyo ya kiume na mwanamke ataona mapenzi japo hayashikiki).

Kwahiyo chanzo cha mapenzi kipo kwa mwanaume na kama ukikiaply mwanamke yoyote katika dunia hii anageuka mali yako. Kwa hivyo basi ili maisha ya ndoa yasitegemee sheria nilazima chanzo hiki mwanaume ajijengee uwezo wa kukiamsha mara kwa mara{hata kama unamtongoza mwanamke yale maneno yako huwa sio kitu sana kwake wao huwa wanaiangalia hiyo nguvu kama imewaka na akiigundua imewaka ndio hujua unachokisema hakika unamaanisha}.

Kwanini nguvu hiyo ambayo ndio chanzo cha mapenzi iwake mara kwa mara? Ni kwasababu hii; chukulia mchezo wa mpira mnagombania kombe mkisha lipata/mkisha lishinda linakuwa sio kitu kigeni tena yaani linakuwa kitu cha kawaida. Sasa katika maisha ya mapenzi hakuna kuushinda uanamke/moyo wa mwanamke haushindwi kwamba umeshinda kama vile kombe, abadani. Kwani ukimya wa uumbaji hauna mwisho hivyo kutokuamka/ kuwaka kwa nguvu hiyo ambayo ndio chanzo cha mapenzi kwake ni ishara nyingine, huenda umepunguza mapenzi kwake, huenda unamwingine na uchafu mwingine kama huo...

ITAENDELEA.



MAGUFULI4LIFE.
 
SEHEMU YA PILI.

Niliishia kwenye wajibu wa kuwasha nguvu hiyo ambayo ndiyo chanzo cha mapenzi na madhara ya kumchukulia mke wako kama kitu cha kawaida. Katika sehemu hii ya pili nitajitahidi kueleza namna ya kumkaribisha na kumfungia mwanamke ndani ya himaya yako bila yeye kujijua.

Dunia nzima inajua wanaume tunapenda maisha yetu kuliko kitu kingine kwakuwa kutwa kucha tunawaza na kufanya mipangilio ya kuishi vizuri. Nikweli kabisa na wanawake wanalijua hilo vizuri tu, lakini kwa uwepo wao duniani basi pasina shaka kuwa mwanaume anaweza kufanya vitu vyote viwili yaani maisha na mwanamke ila mwanamke ni ziada kwenye maisha ya mwanaume hivyo yeye kuingia kwenye maisha yako atasaidiwa na chanzo cha mapenzi kama nilivyokieleza hapo nyuma.

Sasa baada ya kuwaka chanzo cha mapenzi na mwanamke kukuona wewe ndio sehemu inayomtaka kuishi basi kinachofata ni mapokezi yaani kukaribishwa na kukubalika ambapo hii part yote bado ipo kwa mwanaume ambaye ndiye mwenye chanzo cha mapenzi. Sasa chukua picha hii, mbele yako kuna kitu kimoja maisha ila sasa unataka uongeze kitu kingine mwanamke hivyo sogeza kitu cha kwanza ambacho ni maisha kisogeze kulia kwako, kwenye nafasi iliyopatikana kushoto kwako mjaze mwanamke.

Naam! sasa hapo unavitu viwili mbele yako (haviingiliani) na ambavyo havitaki ukisahau kimoja wapo yaani fanya unawake wawili. Mke wa kwanza maisha na wapili mwanamke. Sasa unapofanya maisha na mwanamke unakuwa unafanya maendeleo kwenye maisha na mapenzi kwenye ile sehemu uliyoijaza mwanamke. Sasa unafanya maisha na mapenzi. Mwanamke anapoona yupo ndani ya sehemu ya majukumu ya mwanaume (rejea maisha na mapenzi) hata kama bado hajaolewa na mwanaume huyo huwa anaanza kuvuka mipaka ya usiri na kujipeleka kwenye dhahiri ya kuwa na mwanaume,yaani hapo tayari amekaribishwa bila neno karibu na routine hiyo ikiendelea inakuwa inamwambia vitu vingi positive, sisi huku nje tunasema wanapendana ila chanzo kipo na aliyekibeba yupo na analifanya jukumu la ziada kwa bila shaka.

Baada ya kumkaribisha,kwa haraka haraka mwanamke anaweza kuhisi ndio mwisho wa safari kwa kuona unavyofanya maisha na yeye, lakini mimi nakwambia kwa mwanaume ndio kuna pepo ya mwanamke, ndio kuna chanzo cha mapenzi kwahiyo hapa sio mwisho, mwanamke anafungwa kwenye miliki ya mwanaume na kuwa na NO PLACE TO RUN.

Kama nilivyoeleza katika sehemu ya kwanza kuwa chanzo cha mapenzi hakifiki mwisho sasa vipi mtu akikuingiza kwenye shimo linalomaanisha kila kitu kizuri chenye kugusa moyo wako unafikiri akili yako kuna muda itakupa asilimia mia ya kukufanya usijitahidi kufika mwisho wa shimo ili uone kila kilichomo ndani na badala yake useme hapana? Hicho kitu hakipo badala yake utahamia hukohuko.

Sasa ubongo wa kiumbe chochote hutafuta sehemu inayoki fever kiumbe hicho. {Mapenzi huwa yana picha ambayo ni ngumu kuisafirisha kwa mtu mwingine ila najaribu kujitahidi kama nilivyoeleza kwani hata ukimueleza mpenzi wako ni jinsi gani unampenda halafu umwambie akutafsiri mapenzi yako kwake akijitahidi sana utaona ameishia kwenye asilimia zisizo zidi kumi na tano,ila kitendo unaweza ukakifanya kutoka ndani ya moyo na akili yako kikiwa na asilimia zisizo zidi tano na anayekitafsiri kika mfikisha kwenye zaidi ya asilimia mia} ukimkaribisha mwanamke reejea namna ya kumkaribisha nilivyoieleza utakuwa umemmaanishia mambo mengi bila maneno/kuongea turn yake itakuwa yeye kuvuka mipaka ya usiri na atajidhihirisha kwa watu yeye ni kwa ajili yako je, ukafanya mapenzi (makaribisho) na kujitoa kwa ajili yake turn yake itakuwa vipi?

Chukulia hivi, umeamua kumchezea mwanamke wako sehemu zake za siri kwa ulimi (kuzama chumvini) mpaka ukahisi amekaribia kumwaga ukaendelea kumtekenya sehemu zake za siri kwa kasi akapizi baada ya kuwa amepizi unamfunulia boksa yako unamtolea mboo iliyodinda imefungwa riboni ikiwa cheni na hereni uliamua kumfanyia surprise ya zawadi, hapo amepata mambo mawili amepizi na amepata zawadi ki akili hataishia hapo ataanza na kuona kujitoa kwako kwake kumbuka uliamua kumpizisha yeye bila kujijari wewe. Utakuwa umetenda jambo dogo ambalo atalitafsiri bila kufika mwisho kwasababu linagusia kujitoa.

Hata weza kusahau hata akiona mtu anapewa zawadi atawaona kama bado hawajakomaa kwa kiwango chake. Ni zaidi ya haya nayoeleza hivyo kwakuwa chanzo cha mapenzi mwanaume ndiye amekibeba baada ya kumkaribisha mwanamke bila neno karibu,mfanyie mambo ambayo yatamtafakarisha kwamba umejitoa kwake cha kukurudishia hatakuwanacho bali utakuwa umemtumbukiza kwenye shimo ambalo mwisho hatakuja kuupata kamwe na hatoki tena labda anywe sumu tu akapumzike huko ukimzingua.

Sehemu ya tatu nitaeleza namna ya kumtuma mwanamke aanze kukutega bila kumgusa,bila kumwambia kwakutumia tu chanzo cha mapenzi na ataitikia maramoja na bila kujua kama wewe ndio umemtuma aanze kukufanyia hivyo.


MAGUFULI4LIFE.
 
Back
Top Bottom