Chanzo cha mapenzi ya jinsia moja Afrika Mashariki

Hongera kwa kuwajua waarabu vilivyo.
Teeh teeh teeh.

Dada huwezi kuondoa ukweli kwamba wazungu wanapenda mno tena sana huu mchezo.

Lakini kwa vile ni makafiri wenzako wala huoni.

Ebu cheki hapa chini hawa mashoga

Hapo ni kanisani na tazama kwenye back ground ya hiyo picha utaona kisanamu cha bikra maria.

Yaani nyie makafiri mpaka makanisani mnalawitiana achilia mbali kufungishana ndoa.
 
Kwa hivyo dini imechangia????
 
Tuambie kidogo na kuhusu magaidi.
 
Wana mkaza yaani kama demu anajiuza anafanya biashala kuliko hata mademu mweeepe midomo kapaka rangi kukukalia mapaja haoni shida
 
Wanaume ndio walikuwa wanahitajika zaidi kuliko wanawake. Hivyo basi kutokana na kusafiri muda mrefu kwenye majahazi, historia iliyofichwa inaeleza wale MABWANA walikuwa wanawafanyia vibaya kinyume na maumbile wale watumwa.
Walikuwa waisilamu mnakataa Nini....ndio sababu nastaajabu kumkuta mweusi anajiita muisilamu, hajui uovu aliofanyiwa na watu hawa nyuma ya dini hiyo, kwani hao waleo, wapemba wenye kufanya watoto, sio waisilamu????
Mweusi ni kurudia ibada yako asilia full stop
 
Mkuu safi sana umemtoa kwnye njia. yan kuna watu ukiwataja waarabu akili zao automatically zinaswitch to muslims....poor minded people
Walikuwa waisilamu mnakataa Nini....ndio sababu nastaajabu kumkuta mweusi anajiita muisilamu, hajui uovu aliofanyiwa na watu hawa nyuma ya dini hiyo, kwani hao waleo, wapemba wenye kufanya watoto, sio waisilamu????
Mweusi ni kurudia ibada yako asilia full stop
 
Ibada ya asili ikoje? Tupe muongozo
 
Waarabu ni mashoga wakubwa na mafirauni wanatutia aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…