Alblondys
Member
- May 22, 2025
- 22
- 26
Salam wana JF,
Nimekuwa na swali linalonipa maswali Mengi kila Kukicha.
Tukiachana na Michango ya wanachama, Wahisani wa ndani, wafanyabiashara n.k
Je! Vyama vyetu vya Siasa vinapata wapi Pesa zaKujiendeshea?
2: je! Kama Kuna Misaada kutoka mashirika ya Kimataifa; ni % ngapi zinagawiwa.
3: Mpokeaji wa Hizo hela ni Bank ya Taifa kupitia chama tawala, au kila chama kinaingiziwa kwa wakati wake?
4: Je! Malalamiko yanayohusu Haki na Uhuru wa kuchagua kiongozi kwa Raia wake, endapo yakikiukwa ni hatua zipi hawa wahusika wanaotoa pesa wanazichukua?
5: Je! Wao wanapata Faida gani katika kutupatia sisi Developing country pesa za kuendeshea vyama na uchaguzi?
Naomba kulishwa taratibu maana bado nahitaji kushiba vizuri.
Nimekuwa na swali linalonipa maswali Mengi kila Kukicha.
Tukiachana na Michango ya wanachama, Wahisani wa ndani, wafanyabiashara n.k
Je! Vyama vyetu vya Siasa vinapata wapi Pesa zaKujiendeshea?
2: je! Kama Kuna Misaada kutoka mashirika ya Kimataifa; ni % ngapi zinagawiwa.
3: Mpokeaji wa Hizo hela ni Bank ya Taifa kupitia chama tawala, au kila chama kinaingiziwa kwa wakati wake?
4: Je! Malalamiko yanayohusu Haki na Uhuru wa kuchagua kiongozi kwa Raia wake, endapo yakikiukwa ni hatua zipi hawa wahusika wanaotoa pesa wanazichukua?
5: Je! Wao wanapata Faida gani katika kutupatia sisi Developing country pesa za kuendeshea vyama na uchaguzi?
Naomba kulishwa taratibu maana bado nahitaji kushiba vizuri.