Chanzo cha makalio makubwa

Chanzo cha makalio makubwa

Lucky Said

Member
Joined
Jun 14, 2012
Posts
9
Reaction score
0
Jamani wenzangu naomba tusaidiane kitu kimoja,hivi ni kwa nini mabinti na wanawake wengi wamekua na makalio makubwa,na kwa nini iwe siku hizi na isiwe tangu kipindi cha nyuma?
Naomba tusaidiane jamani.
 
Zamani ungeona wapi kuwa ni makubwa hali ulikuwa hujakua wala kubaleh? na hukujua kihemkwa

chako pande za sex ni mapododo? mapododo yetu makubwa toka zaman hata mama na bibi walikua hivo hivo.
 
Jamani wenzangu naomba tusaidiane kitu kimoja,hivi ni kwa nini mabinti na wanawake wengi wamekua na makalio makubwa,na kwa nini iwe siku hizi na isiwe tangu kipindi cha nyuma?
Naomba tusaidiane jamani.

Waulize wenye 'mikia' mikubwa watakuambia.
 
Ni biashara ya wachina wanataka kutumaliza. Ila dada zetu wenye ****** makubwa wanaona ni kama biashara ya kupata wanaume wapenda ******.
 
Kwanza zamani ulikuwa mtoto usingweza kuwazia hvyo

Pili zamani mavazi yalikuwa ya kujisitiri tofauti na sasa hvyo usingeweza kuona kirahisi

Tatu wanaume siku hizi wameongeza kiwango cha kukodoa macho kwa wadada tofauti na zamani tena hasa sehemu za nyuma wanaamgalia bambataa.

Nne watu wamemwacha Mungu na hata kumwazia pia,muda mwingi wanawazia zinaaa tu,ni uzinzi kwenda mbele.
 
Aiseee,yaani nimewapata kinomanoma,nashkuru sana kwa mchango wenu,yaani wachina watawamaliza ma Dada zetu mwaka huu.
 
Wafuatao wanajua chanzo chake Mwanza,Mbeya na wapi vileee nimesahau ila kuna wengine wana flat nyuma lakini siku hizi. Wana wezere la kufa shetani its all about chinese products ops
 
Zamani ungeona wapi kuwa ni makubwa hali ulikuwa hujakua wala kubaleh? na hukujua kihemkwa

chako pande za sex ni mapododo? mapododo yetu makubwa toka zaman hata mama na bibi walikua hivo hivo.

Hacha kujis**** asiekujua nani km mna2mia naniliiu? Usi2zuge na mapo*--.
 
Zamani ilikuwa fungua kufuli uone makalio, siku hizi fungua makalio uone kufuli!
 
Nikisema zamani,simaanishi enzi za mitume,namaanisha kuanzia mwaka 2009,nadhani nilikosea kidogo.
 
Kuna mengi sana
1) vyakula wanavyokula
2) dawa za kichina
3)nguo wanazovaa
4)tamaa za wanaume nazo zinaweka taswira akilini mwao
 
Wamerithi toka kwa mama dhao!

Pia uzembe wa kutokufanya mazoezi hupelekea kunenepa!
 
Yeah nadhani vyakula wanavyokula,nguo,na kutofanya mazoez ndio chanzo.
 
kwani zamani walikuwa wanaruhusiwa kutoka na skin tait ndani?

aisee Kongosho, hawa mama zetu zamani walikua wanavaa vimini balaah kama catalogue...bahati tu mibaba ya enzi hiyo maadili yalikua banda
 
Ni mbegu za siku hizi zina hamira kwa iyo zinaenda kuvimbisha!
 
Back
Top Bottom