Chanzo cha kuku wa kizungu (broilers) ni nini?

Chanzo cha kuku wa kizungu (broilers) ni nini?

Tatizo halianzia kwenye chakula tu, Kwanza mayai yake hayajatagwa na kuku isipokua ni mbegu tu imepandikizwa na kutotoa kama yai.

Mayai yake yanatagwa na kuku, jaribu kutembelea vituo wanavyozalisha hao vifaranga utawaona hao kuku wazazi wanaotaga mayai (parental stock). Nenda shirika la elimu Kibaha utakuta hao kuku au interchick. Kutokana na gharama za kulea parental stock kuwa kubwa, wengine wanaozalisha vifaranga huagiza mayai kutoka katika mashamba makubwa yaliyo na parental stock wa kutosha.......
 
Huwa kuna parental stock ambao wanakuwa special kwa ajili ya kutaga mayai tu. Kama parental stock ni kwa ajili ya nyama basi mayai ambayo ni makubwa yakishatagwa ndio huwekwa katika mashine tayari kwa kutotolewa. Hii itapelekea kupata vifaranga wakubwa ambao wengi wanakuwa ni majogoo. Na kwa wale wa mayai nao ni hivyo hivyo, lakini si kweli kuwa eti wanatotolewa majike tu. Wakishatotolewa huchaguliwa wale wenye dalili za kuwa majike na ndio huuzwa. Majogoo hutunzwa kwa kuuzwa kama mabroilers.
Nina uzoefu na hii kazi na nimewahi ifanya, hawa broilers hawajatokea tu wana wazazi....

usemayo ni kweli ila upo utata. Mm nina uzoefu wa miaka sita wa ufugaji broilers. Hao kuku unuapo vifaranga huwa mchanganyiko majike na mjogoo hata wakuwe vipi jike hawatetei wala majogoo hawapandi. Pia hao wazazi wa broiler wapo tofauti wao ni wakubwa sana wanafikia hadi kilo 10. Watoto wanatokana na mayai yao ni tofauti kabisa. Ni kama tembo kuzaa sungura utata upo mnaojua.
 
Jogoo 10 hao wako wameshindwa kutetea na kupanda Kwa sababu unawalisha broiler mash ambayo inawafanya wananenepa sana. Hata binadamu akinenepa sana kwenye suala la uzazi kunakuwa na shida. Pia kuhusu ukubwa wa wazazi wao Ni kutokana na uchaguzi mzuri Kwa ajili ya mbegu. Hii ipo wazi tu hata mkulima Wa mazao huchagua mbegu zenye ubora ili aweze kupata mavuno yaliyobora. Vivyo hivyo Kwa broiler.
 
Siyo kweli, wewe unataaluma gani?, una uhakika kuwa ni jinsia moja?

Taaluma yake unaiulizia ya nini mkuu...!? Nadhani ungekanusha kiushahidi hichi alichisema utakua na mantiki zaidi afisa.
 
Kwani kuku wa kienyeji source yake ni nini? kama ni yai hilo yai lilitoka wapi? kama ni kuku jevalibanguliwa na yai gani. The master of creation. Hebu rudi kwako mwenyewe we umetoka wapi? kama ni kwa baba na kama je nao wametoka wapi? na hao je? na wazazi wao na wazazi wa wazazi wao je? the story goes on n on. jibu litabaki kwako kutokana na upeo na imani yako. Its either through supernatural powers (God) au scientific reasons au inaamini ulitokana na sokwe? Kuku ni cross breeding tu unapata aina flani na chakula anachokula na jinsi anavyofugwa ndo inadetermine ukuaji wake. t
 
Mayai yalishushwa bc maan unaambiw chanzo chake we huelew
 
technologia yakutengeneza hao kuku iko nchi chache duniani.hasa Israel inasambaza kwa wingi.
 
Back
Top Bottom