kazikwanza1981
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,577
- 729
Endeleeni kuwa na imani potofu ili wasipande bei. Sisi walaji tuendelee kuwapata kwa bei nzuri...
Tena hawa kuku kwa mchuzi twende, wa kukaanga watamu, na wa kuchoma ndo usiseme kabisa, yaani laiiini!