Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,658
- 4,866
Miaka ya nyuma kidogo baada ya Wasafi TV na FM kuingia mjini, basi Dizzim online nayo ikafata na kuingia mjini na mbwembwe nyingi wakifanya interviews bab kubwa na mambo kadha wa kadha. Maendeleo yalizindi kukua na kupelekea kufungua kituo cha TV na Radio na kuoneshwa kwenye Ving'amuzi mbalimbali.
Lakini hivi sasa Channel hiyo ya Dizzim online kule YouTube ina miaka mingi sana hawaweki Video wala content ya aina yoyote, vilevile kule Instagram hatuoni tena hekaheka za channel hiyo iliyokuwa imeanza kupata wafuasi wengi.
Nini kimeisibu Dizzim online?
Lakini hivi sasa Channel hiyo ya Dizzim online kule YouTube ina miaka mingi sana hawaweki Video wala content ya aina yoyote, vilevile kule Instagram hatuoni tena hekaheka za channel hiyo iliyokuwa imeanza kupata wafuasi wengi.
Nini kimeisibu Dizzim online?