Mara nyingi napoangalia taarifa ya Habari huwa nashangazwa,kinachonishangaza ni pale wanapotangaza habari za A.mashariki,mi huwa naona wanatangaza yanayojiri Kenya tu,lakini Uganda,BURUNDI,NA RWANDA huwa hakuna habari,
Ushauri:chanel ten,mwaweza kufuta kipengele cha habari za A.mash au mseme zile ni habari za Kenya
Ushauri:chanel ten,mwaweza kufuta kipengele cha habari za A.mash au mseme zile ni habari za Kenya