Channel 10, Nani anamiliki?

Channel 10, Nani anamiliki?

Hatakama RA kawachia JPM na CCM sidhani kama watamudu kuendesha maana ushindani katika media nowdays ushindani ni mkubwa.
Inahitaji ubunifu na watu wenye weledi na sio kujaza mijitu yenye kusifu na kuabudu kama wafanyavyo TBC, Uhuru n.k.
 
mheshimiwa mfalme wa Ging'ingi
kwa nini unatumia kodi zetu kunufaisha miradi ya MAFISIEM ?
Je huoni kwamba unatumia ofisi vibaya ?
Kweli sheria imekupa mamlaka ya kuelekeza baadhi ya pesa zetu kwenye miradi mingine, lakini je ndio hii ya MAFISIEM ? Ving'ang'anizi wa madaraka ?
Je hii ni sababu hupendi kuidhinishiwa fedha na bunge ? na kuifanya hazina mali ya familia ? mali ya mtu na mpwa wake, ili mjichotee tu na kutoa offer hadharani kama ulivyotoa ofa nyumba za umma ulipokuwa wizarani ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom