Hivi kazi inapatikana vipi hapo? Asaa kheri tunaweza tukatengeneza senti.Atanunua kila kitu kwa vile iko pesa aliyoipata kwa ubwete. Kelele zikizidi ananunua na Muhimbili ili adhibiti hata matibabu ya wale wenye kuchonga sana juu yake.
Atanunua kila kitu kwa vile iko pesa aliyoipata kwa ubwete. Kelele zikizidi ananunua na Muhimbili ili adhibiti hata matibabu ya wale wenye kuchonga sana juu yake.
nadhani bado vyombo vingi vya habari vitaendelea kununuliwa tukielekea 2010
Kama ni RA na Tamil amenunua Chanel 10 ni dhahiri sasa kwa nini RM awaite mafisadi. Huyu mzee mwoga sana wa ushindani. Wananchi angalieni msijiingize kwenye vita vya tembo
Atanunua kila kitu kwa vile iko pesa aliyoipata kwa ubwete. Kelele zikizidi ananunua na Muhimbili ili adhibiti hata matibabu ya wale wenye kuchonga sana juu yake.
So all media channels, especially TVs, are now officialy under the CCM tutelage. Tumekwisha!
Kitila,
Not only CCM tutelage, but the fisadi wing of CCM. Tumekwisha!