Nasikia hakuna aliyekufa, isipokuwa wamepatwa na madhara kama kuishiwa nguvu na baadhi walipoteza fahamu
Nasikia hakuna aliyekufa, isipokuwa wamepatwa na madhara kama kuishiwa nguvu na baadhi walipoteza fahamu
Be organised kabla hamja kurukupa get ur facts correct. Hii habari ni nzito na inahusu taifa ku speculate watoto wamekufa ilhali hamna uhakika sio jambo zuri kabisa
Wazee hili jambo ni kubwa sana sana. Maana kwa habari toka morogoro ni kwamba chanjo hii imetolewa kwa watoto wote walio chini ya umri wa miaka 10. Hii ni mara ya pili kwa hizi chanjo kuwa na matatizo. Nadhani mtakumbuka ile iliyofanyika dar. Baya zaidi walikuwa wanatoa chanjo tofauti kwa wakati mmoja. Yaani ya surua, minyoo, pepopunda, TB na Matone ya vitamini A.
Hizi chanjo huwa zinatolewa tofauti lakini kwa nini sasa sitolewe siku mmoja?
Na nani amewapa waalimu nguvu za kuruhu watoto wachanjwe bila ruhusa toka kw wazazi wao?
JF Doctor hebu tupe madhara ya kuchanganya chanjo zote hizi kwa wakati mmoja?
Kwa walio karibu hii ni Morogoro tu au ilikuwa chanjo ya nchi nzima?
Halafu tunasema eti Tanzania ina uongozi, Utoke wapi?
Huu uzembe mpaka watoto watanzania wanakufa bila sababu za msingi na yenyewe tutaambiwa waziri kajiuzuluu?
Hii inauma sana sana
Vaccine Development Practices
Kuna kitu huwa general public haifahamishwi. Katika utafiti wa kitabibu hasa ukihusu uendelezaji wa madawa na chanjo kuna kitu wanakiiita "Guinea Pigs" Kabla ya kwenda kutumiwa kwa general public hu-sample either age fulani, au sex fulani, au watu wenye tabia fulani, na kuwadunga au kuwachanja chanjo hizo na kisha mara kufuatialia A to Z reactions, effects etc za kile walichompatia candidate wao. Na yawezekana kabisa wala sio chanjo kwa kitu walichokisema inawezekana kwa kitu kingine yaani hapa wana-Blind Fold participants wakiona vile inafaa au inahitajika.
Outcomes
Sasa kuna mawili ama bado iko kwenya phase hiyo ya "Vaccine Development Research Studies" au ndo hawakufanya vizuri katika phase hiyo awali ama sample size ilikuwa kidogo kuweza kutoa majibu hayo na kufanyia marekebisho nk. Kwaufupi hii ndo inaweza kuwa kisa chake.
What to do
Baada ya hapa watawachukua wale waloathirika na kuendelea na utafiti wa kina ili kujua athari kwa wengine ni nini chanzo ili kuweza kujua ni watu wepi hawapaswi kupata chanjo hiyo au kutengeneza njia ya kuwa-test watu kabla ya chanjo hiyo yaani "Sensitivity Test", watakao-react against hawatapata chanjo hiyo na wale watakaokuwapoa ndo watapata. Na inabidi hata hivyo kuendeleza tafiti ili kutengeneza chanjo nyingine kwa magonjwa yale yale ila mbadala kwa wasopatana na ile iliyowadhuru. It is very very expensive to develop any vaccine. It is tedious as well but all in all GOOD job kama wameathirika wachache kiasi hicho we can say a vaccine is effective to use to general public cause with side effects its 99.999999999999% OK for use only 0.00000000000001% not ok which is all vaccines works within or along the specified % frame.
Kwa anayebisha kwa hoja atuelimishe zaidi badala ya kupotoka na kuogopa kuwahimiza watanzania kupata chanjo.
Health Sector - Vaccine Development Team
You have a lot to work out and make sure you are there or your trained manpower on the prescibed vaccine to help the public just incase when there is an issue of side effects and develop a contra-indication checklist