Chanjo ya covid 19 ni hatari

Chanjo ya covid 19 ni hatari

kopites

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2015
Posts
9,678
Reaction score
12,094
Rais Magufuli anaposema chanjo za hawa watu weupe hazifai ni hatari muwege mnaelewa.
Rais akisema kitu anazo taarifa zote msidhani amekurupuka.

Hizi chanjo zimeanza kuwapa shida wao wenyewe huko ndio sisi tuchanjwe?

Sisi tule vyakula vyetu vya asili na kumuomba Mungu.

Angalia hii video hapa chini watu chanjo ya corona inavyowasulubu

Magufuli yupo sahihi sana sana,na ni vizuri sana tumepata Rais wa aina hii katika nyakati kama hizi.

Asomae na aelewe,usije sema hukuambiwa mapema.plan zao zimeshindwa na billgate anasema kuna ugonjwa mwingine utalipuka zaidi ya hii covid-19.

Game plan 2030 👇👇👇👇👇👇👇


20210127_225056.jpg
 

Attachments

  • 20210127_225116.jpg
    20210127_225116.jpg
    57 KB · Views: 7
  • Screenshot_20210129-161507_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20210129-161507_WhatsApp.jpg
    46.5 KB · Views: 6
Hakuna vaccine isiyo kuwa na risks lakini kabla hujachomwa sindano wana hakikisha hakuna dawa unayotumia inayoweza kuingiliana na chanjo, uliugua COVID ndani ya wiki mbili, u mzima wa afya.

Baada ya kupata chanjo unasubiri dakika 15 ndani ya clinic yenye wataalamu kama mfamasia, daktari na nesi.
 
Mchakato wa kujiridhisha kama chanjo au dawa mpya ni salama na inatibu(safe and effective) huchukua miaka kuanzia 15 hivyo hizi chanjo za kuandaliwa ndani ya miezi mitatu lolote linaweza kuwapata wadungwaji
 
Nilimuelewa sana alipotolea mifano ya TB, UKIMWI na kansa.
 
Mchakato wa kujiridhisha kama chanjo au dawa mpya ni salama na inatibu(safe and effective) huchukua miaka kuanzia 15 hivyo hizi chanjo za kuandaliwa ndani ya miezi mitatu lolote linaweza kuwapata wadungwaji
Kweli , ndo maana akasema tusikimbilie kumbe
 

Kamwe siwezi fata ushauri wa jiwe, yaani kweli jiwe ndiye anishauri mambo ya msingi
Anyway kila mtu afanye maamuzi yake japo mimi na hiyo chanjo sikubaliani ila siyo kwa ushauri wa jiwe
 
Yaani wataalamu wa huko kwa Mbeberu wamekaa maabara kwa ajili ya kutengeneza chanjo halafu nzirankende aje kubwabwaja tu.....Yeye utafiti wake wa maganda ya korosho umesaidia nini?
 
Umeenda kupick video ya propaganda za Russia kwa Marekani!Poor you!
 
Mi nadhani nyie mlio hamu na hiyo chanjo vukeni ng'ambo mkachanjwe. Mmekubali kuongozwa na Mheshimiwa Magufuli ana vyombo vya kumpa taarifa Mimi na nyinyi hatuna hiyo alafu unakomaa kupinga .

Usikomae kupinga tu eti kwa sababu fulan kasema angalia kasema nn . Mimi binafsi siungi kabisa habar ya hii chanjo hata kbla ya anko Magu kusema aloyasema.
 
Hakuna vaccine isiyo kuwa na risks lakini kabla hujachomwa sindano wana hakikisha hakuna dawa unayotumia inayoweza kuingiliana na chanjo, uliugua COVID ndani ya wiki mbili, u mzima wa afya.

Baada ya kupata chanjo unasubiri dakika 15 ndani ya clinic yenye wataalamu kama mfamasia, daktari na nesi.
Mkuu tuonane nije kukupiga hiyo chanjo ya Corona virus je utakubali
 
Back
Top Bottom