hatuchangii waharifu, atafanyaje kazi na majambazi hadi wanashea usafiri, labda tuwasaidie polisi kumtia hatiani yeye na majambazi wenzake
hatuchangii waharifu, atafanyaje kazi na majambazi hadi wanashea usafiri, labda tuwasaidie polisi kumtia hatiani yeye na majambazi wenzake
Mh!mbona unaenda mbali sana!imekuuma sana,pole mkuu!sisi tutamchangia!
hatuchangii waharifu, atafanyaje kazi na majambazi hadi wanashea usafiri, labda tuwasaidie polisi kumtia hatiani yeye na majambazi wenzake
wewe kama nani? Au unataka tukuchangie wewe?
Hakuna ujambazi unaozidi aliyeiba kura halali za watanzania, na anajiona sio mwizi. anataka watu wenye vichwa-zero kama wewe ili wawatawale maisha yao yote!
Kama unashindwa kutambua kuwa Mpendazoe kawekwa ktk target tu ya kwamba anatumia gari 'inayohisiwa ya wizi' kama njama za hao manyang'au, wezi wa kura ambao wameiba ubunge wa Segerea na wanaogopa kesi iliyo mahakamani.
Utambue kuwa dawa ya moto ni moto. Ujanja wa kutumia polisi ili kuyumbisha upatikanaji wa haki ni kufillisika. Ndio CCM ipo hapo.
Fred tutamchangia, jimbo litarudi kwa washindi halali, na huyo 'naibu waziri' feki na fisadi wa elimu atarudi mtaani kumiliki baa zake alojenga kwa kukwapua viwanja vya wazi na maeneo ya kuchezea watoto.
Inatia hasira sana kuona mijitu inatetea uozo na hawana fikra halisi.
Tuko tayari kumchangia. Sasa kuna account number au namba ya simu, tuwekeeni hapa tuchangie.
Hakuna ujambazi unaozidi aliyeiba kura halali za watanzania, na anajiona sio mwizi. anataka watu wenye vichwa-zero kama wewe ili wawatawale maisha yao yote!
Kama unashindwa kutambua kuwa Mpendazoe kawekwa ktk target tu ya kwamba anatumia gari 'inayohisiwa ya wizi' kama njama za hao manyang'au, wezi wa kura ambao wameiba ubunge wa Segerea na wanaogopa kesi iliyo mahakamani.
Utambue kuwa dawa ya moto ni moto. Ujanja wa kutumia polisi ili kuyumbisha upatikanaji wa haki ni kufillisika. Ndio CCM ipo hapo.
Fred tutamchangia, jimbo litarudi kwa washindi halali, na huyo 'naibu waziri' feki na fisadi wa elimu atarudi mtaani kumiliki baa zake alojenga kwa kukwapua viwanja vya wazi na maeneo ya kuchezea watoto.
Inatia hasira sana kuona mijitu inatetea uozo na hawana fikra halisi.