Naisoma360
JF-Expert Member
- Jan 23, 2015
- 820
- 491
Wakuu habari, mara ya kwanza niliomba upande wa Kada ya Afya na Sikuchaguliwa kutokana na Ushindani mkubwa, sasa nimebadili kada na kuomba ualimu, LAKINI wakati nabadili kada "SYSTEM" ikanambia ADDITIONAL PAYMENT MAY APPLY...Lakini baada ya kubadili sikupewa hiyo option ya malipo swali linakuja...
Je, ni lazima ufanye payment au Ukitumia Profile ileile Hakuna malipo tena ingawa nitakuwa nimebadili kada?
Msaada kwa ufafanuzi kidogo...
natanguliza shukrani zangu za dhati..
Je, ni lazima ufanye payment au Ukitumia Profile ileile Hakuna malipo tena ingawa nitakuwa nimebadili kada?
Msaada kwa ufafanuzi kidogo...
natanguliza shukrani zangu za dhati..