hiyo ipo sana.
Jee unaweza wewe mwenyewe kujiona umechanganyikiwa lakini watu wasidhani hivyo?
Sasa unapinga nini?napinga hili kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hujijua mwanzoni ila with time hushindwa kutambua kama wanachanganyikiwa
Uwezekano ni mkubwa kuwa wao ndiyo wamechanganyikiwa.
Kama mtu amechanganyikiwa haisaidii hata ukimwambia, manake hatakuelewa.
Sasa kama watu wakikuambia kuwa umechanganyikiwa na ukaweza kuwaelewa (hadi kufikia kujiuliza kama ni kweli) basi hujachanganyikiwa wewe. Bali wao ndiyo wamechanganyikiwa na wanajaribu "ku-cry for help"... Wasaidie ili wasizidi kuchanganyikiwa!
Hii ni kama ilivyo kwa Mlevi kumcheka mwenzake kuwa kalewa, kumbe yeye ndiyo amelewa zaidi...
ushawahi changanyikiwa nininapinga hili kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hujijua mwanzoni ila with time hushindwa kutambua kama wanachanganyikiwa
Love...Hivi ukiniangalia unaonaje nimechanganyikiwa au niko fresh ila kama unaona nimechanganyikiwa itakuwa ni sababu ya yule lawyer.
Yaani hela tumlipe wote halafu yeye kazi yake ni kukutetea wewe na kunikandamiza mimi halafu nimekwambia kuwa amekamatwa amemtorosha msichana wa shuleMy dear wewe mie nakuona uko fresh tu
ila kuna saa unakuwa umechanganyikiwa
nadhani lol
Hivi kwa nini humpendi lawyer wangu?
:hug::hug::hug::hug:Sante mpenzi
ni maisha tu my dear na TF hahaha lol..
Yaani hela tumlipe wote halafu yeye kazi yake ni kukutetea wewe na kunikandamiza mimi halafu nimekwambia kuwa amekamatwa amemtorosha msichana wa shule
Napita tu kukusalimu luv pamoja na TF kutokuwa na amani akiniona hapa lol!Sante mpenzi
ni maisha tu my dear na TF hahaha lol..
Sante sana mkuu nimekuelewahili suala katika familia zetu za kiswahili inabidi uwe na tahazari nalo kwani kuna possibilities 2
1) umechanganyikiwa kweli.
hii inawezekana kabisa, ukawa umechanganyikiwa lakini wewe unajiona uko normal, hapa hatuongelei kupoteza network kabisa tunaongelea kuchomoka baadhi ya fuse tu. unaweza ukafanya mambo ambayo haueleweki kabisa lakini wewe ukajiona normal. hapa JF ukiperuzi sana utaona watu wa namna hii (mimi simo na ukinitaja naripoti abyuzi)
2) haukuchanganyikiwa lakini umekwenda kinyume na mazoea/utamaduni/ matakwa.
hapa ndio panahitaji umakini, mtu anaweza akakujudge umechanganyikiwa kwakuwa tu uko kinyume na anavyotaka yeye, hii ni very common especial nchi za ulimwengu wa tatu.
ni juu yako kuangalia na kubalance baina ya hizo mbili hapo juu.
kama umefaham gonga senks adhawaizi sikushauri tena.