Changamsha akili

Master SM

Member
May 29, 2020
55
54
Habari Wana jamiiforum.

Nawarudisha shule

SWALI,
Nina umri wa miaka 20 sasa na umri wa baba ni mara mbili ya umri wangu. Nikiwa na miaka 50 je baba atakua na miaka mingapi.

Nawakaribisha GREAT THINKERS




Update ya jibu


Haya
Nikiwa na miaka 20 umri wa baba ni 40( mara mbili ya umri wangu)
Nikiwa na miaka 50 baba atakua na miaka mingapi.

Naona wengi wamesolve simple kwa kuzidisha mara mbili , SIO SAWA.
Nikiwa na miaka 20 baba kanizidi miaka 20 then nikiwa na 50 yeye atakua na 50+20=70
 
Habari Wana jamiiforum.

Nawarudisha shule

SWALI,
Nina umri wa miaka 20 sasa na umri wa baba ni mara mbili ya umri wangu. Nikiwa na miaka 50 je baba atakua na miaka mingapi.

Nawakaribisha GREAT THINKERS
Tusubiri ukijaaliwa kufika 50 tutajua
 
Habari Wana jamiiforum.

Nawarudisha shule

SWALI,
Nina umri wa miaka 20 sasa na umri wa baba ni mara mbili ya umri wangu. Nikiwa na miaka 50 je baba atakua na miaka mingapi.

Nawakaribisha GREAT THINKERS
Kama umri wa baba yko ni mara mbili ya umri wako, we ukiwa na miaka 50 yeye atakua na miaka 100
 
Habari Wana jamiiforum.

Nawarudisha shule

SWALI,
Nina umri wa miaka 20 sasa na umri wa baba ni mara mbili ya umri wangu. Nikiwa na miaka 50 je baba atakua na miaka mingapi.

Nawakaribisha GREAT THINKERS
Utakua ameshakufa, lifespan ya bongo imeshuka sana
 
Jibu linaweza kuwa miaka 100 au miaka 70, kutegemea kama swali lako umeliwekaje

Kama siku zote umri wa baba yako ni mara mbili ya umri wa mtoto wake basi baba atakuwa na miaka 100 pale mwanaye atapokuwa na miaka 50

Endapo umri wa baba ni mara mbili ya umri wa mtoto pale alipokuwa na miaka 20 tu (umri wa sasa). Basi mtoto atakuwa na miaka 50 imezidi miaka 30. Hivyo baba nae atazidi miaka 30 kupelekea miaka 70..

Niko teyari kukosolewa hesabu ngumu
 
We jamaa hujaelewa swali

Let age of father be presented by letter Y and son by letter x
Relationship : Y=2x
When x= 20. Y = 2(20) y=40
When x= 50 Y =2(50) y= 100
Lakin angeuliza umri wa kijana baada ya miaka 50 ingekuwa hivi
From Y=2x
Now When x=20
After 50 year x+50= 20+50
Age of son after 50 will be equal to 70
What will the age of father be if the age of father is twice the age of his son
Relationship Y=2X
When x=70. Y=2(70)
Y=140
After 50 years the age of father will be 140

Back to the point jamaa hukuelewa swali next time utilize ndonga and don't forget to eliminate wenge in your head
Gily
 
Habari Wana jamiiforum.

Nawarudisha shule

SWALI,
Nina umri wa miaka 20 sasa na umri wa baba ni mara mbili ya umri wangu. Nikiwa na miaka 50 je baba atakua na miaka mingapi.

Nawakaribisha GREAT THINKERS




Update ya jibu


Haya
Nikiwa na miaka 20 umri wa baba ni 40( mara mbili ya umri wangu)
Nikiwa na miaka 50 baba atakua na miaka mingapi.

Naona wengi wamesolve simple kwa kuzidisha mara mbili , SIO SAWA.
Nikiwa na miaka 20 baba kanizidi miaka 20 then nikiwa na 50 yeye atakua na 50+20=70
70 doesn't function in relation u mention above
 
We jamaa hujaelewa swali

Let age of father be presented by letter Y and son by letter x
Relationship : Y=2x
When x= 20. Y = 2(20) y=40
When x= 50 Y =2(50) y= 100
Lakin angeuliza umri wa kijana baada ya miaka 50 ingekuwa hivi
From Y=2x
Now When x=20
After 50 year x+50= 20+50
Age of son after 50 will be equal to 70
What will the age of father be if the age of father is twice the age of his son
Relationship Y=2X
When x=70. Y=2(70)
Y=140
After 50 years the age of father will be 140

Back to the point jamaa hukuelewa swali next time utilize ndonga and don't forget to eliminate wenge in your head
Gily
Hahahah mwenye swali mwenyew hajaelewa swali
Uko vizuri aisee. I guess interpretation ndo inabeba swali na jibu


Umri wa kwenye Bible ni miaka 120, hiyo 140 atakuwa keshakufa siku nyingi (joke)
 
Back
Top Bottom