Sawa tunasubiri hiyo Oktoba muingie barabarani mulianzisheHatuko tayari kuheshimu chaguzi za kishenzi kwa amani ya uoga. Kwani ni lazima tuongozwe na ccm? Ni kwakuwa tu hatujapata silaha, lakini tukizishika tutafanya wafanyacho M23. Tumechoka kutawaliwa na ccm bila ridhaa zetu. Tunataka chaguzi za haki. Lisu ni mtanzania mwenzetu ana haki ya kuwa kiongozi ndani ya nchi hii, msitake kumfanya kama hana haki ya kuwa kiongozi ndani ya nchi hii.
Maridhiano ni two way traffic au give and take. Hakuna "winner takes all".4R hizo ni zenu nyie matapeli. Hiki si kizazi cha hizo porojo boss.
Wewe wataka uelekezwe na nani?Kwa hiyo kubadili mifumo ya uchaguzi ndiyo tuelekezwe na Tundu??
Yan sisi tunataka tumuondoe Rais uchaguzi ujao ww unafikiria ashikilie nchi had 2030...labda kwa kuiba kura kama walivozoea...No reforms No elections2. Kwa vile Rais wa sasa hataweza kugombea tena, atakuwa tayari zaidi kukubali mabadiliko kwa ajili ya uchaguzi wa 2030
Hoja ni mifumo ya uchaguzi na sio lisu kwani lisu akifa ndio kutakuwa hakuna haja ya kubadili mifumo?Nijibu kwanza, hivi mnamuona Lissu ana akili sawa ya kuongoza watu?
Ndo maana nchi hii Ina watu wajinga sana kwasababu ya woga...woga unatufanya wavivu wa kufikiria, mtu mwoga hajawahi kuwa na manufaa yoyote kwa jamii na Dunia kwa ujumla...kama taifa hatuwezi kujenga taifa strong kiuchumi, kisiasa, kijamii na kiteknolojia....watanzania inabidi tuache uoga...na tukubali mabadiliko....otherwise we shall never reach the promised land...tukiendelea na desturi hii ya woga...Inashangaza sana eti kukuwa na mabadiliko kutakuwa hakuna amani hii nchi Ina mambo ya kijinga sana sasa babadiliko ya katiba yanaletaje vita
Watanzania sio waoga ila watawala ndio waoga kwanini kuruhusu mabadiliko ya katiba kuwe sababu ya vita? Wewe linakuingia akilini hili?Ndo maana nchi hii Ina watu wajinga sana kwasababu ya woga...woga unatufanya wavivu wa kufikiria, mtu mwoga hajawahi kuwa na manufaa yoyote kwa jamii na Dunia kwa ujumla...kama taifa hatuwezi kujenga taifa strong kiuchumi, kisiasa, kijamii na kiteknolojia....watanzania inabidi tuache uoga...na tukubali mabadiliko....otherwise we shall never reach the promised land...tukiendelea na desturi hii ya woga...
Tutaomba ww ukae mbele kutuzuia. Vyombo vya dola vikae pembeni maana kwa sasa hatuna silaha.Sawa tunasubiri hiyo Oktoba muingie barabarani mulianzishe
Hapana kumbe kuna vitu bado hujavielewa.1. Wenye nia ya kugombea hawanyimwi nafasi ya kurudisha fomu. Njia rahisi ni kuhakikisha ofisi ya msimamizi wa uchaguzi anakuwepo kwenye kituo chake na ofisi inakuwa wazi wakati wote. Na kila mwenye nia asizuiwe kuwasilisha fomu zake.
2. Kuhakikisha kuwa hakuna kuenguliwa kwa sababu za kijinga. Fomu zipelekwe mapema na msimamizi atakiwe kuziidhinisha kuwa zimekamilika na kama mapungufu aya ainisha kabla deadline. Ama pawe na muda wa kisheria wa kurekebisha makosa. Mathlani mwisho wa kupokea fomu ni tarehe fulani na Msimamizi anatakiwa aseme zipi hazijadhi matakwa ndani ya wiki moja na mapungufu yote yaainishwe kwa maandishi na wagombea wapewe wiki moja zaidi ya kufanya marekebisho na kuwasilisha.
3. Kama zitapokewa fomu zaidi ya moja kutoka kwenye chama kimoja, Katibu Mkuu wa Chama husika athibitishe kwa maandishi zipi ni halali. Atakayejulikana kuwa amefoji achukuliwe hatua za kisheria.
4. Kuhakikisha hakuna kuenguliwa bila sababu ya maana.
5. Mawakala wa vyama husika wasaidiwe kuwepo katika vituo vyao. Wananchi wahakikishe vitambulisho vinapatikana mapema na hawazuiwi kuingia katika kituo chao.
6. Maboksi ya kupigia kura yawe transparent na mawakala waruhusiwe kuyapiga picha.
7. Kura zihesabiwe kwa uwazi mbele ya mawakala katika kituo cha kupigia kura. Mawakala wapewe fomu za matokeo na waruhusiwe kuzipiga picha na kuzituma kwa chama chao.
Yote haya yasimamiwe na wananchi.
Amandla...
Hizo zilikuwa ni haki zao hao cdm wala sio hisani. Ama kwakuwa walipata hivyo unavyosema, basi si haki kupatikana uchaguzi wa haki?Maridhiano ni two way traffic au give and take. Hakuna "winner takes all".
Tuliona kesi za wana CDM zikifutwa kwenye Mahakama mbalilmbali, tuliona waliokuwa ukimbizini Canada na Belgium wakirudi nchini, tuliona mikutano ya kisiasa ikirudi na ruzuku mkipewa.
Sasa unaposema maridhiano ni utapeli una maana gani?. Yaani bado tupo enzi za DIKTETA wa Chato?
Tuwe wakweli, mara nyingine CDM mnadhani muna UMUHIMU kuliko Watanzania wengine
Haya uliyoandika hapa ndio yasiyotakiwa na ccm. Na hapa ndio ulipo msingi wa madai yao ya halali.1. Wenye nia ya kugombea hawanyimwi nafasi ya kurudisha fomu. Njia rahisi ni kuhakikisha ofisi ya msimamizi wa uchaguzi anakuwepo kwenye kituo chake na ofisi inakuwa wazi wakati wote. Na kila mwenye nia asizuiwe kuwasilisha fomu zake.
2. Kuhakikisha kuwa hakuna kuenguliwa kwa sababu za kijinga. Fomu zipelekwe mapema na msimamizi atakiwe kuziidhinisha kuwa zimekamilika na kama mapungufu aya ainisha kabla deadline. Ama pawe na muda wa kisheria wa kurekebisha makosa. Mathlani mwisho wa kupokea fomu ni tarehe fulani na Msimamizi anatakiwa aseme zipi hazijadhi matakwa ndani ya wiki moja na mapungufu yote yaainishwe kwa maandishi na wagombea wapewe wiki moja zaidi ya kufanya marekebisho na kuwasilisha.
3. Kama zitapokewa fomu zaidi ya moja kutoka kwenye chama kimoja, Katibu Mkuu wa Chama husika athibitishe kwa maandishi zipi ni halali. Atakayejulikana kuwa amefoji achukuliwe hatua za kisheria.
4. Kuhakikisha hakuna kuenguliwa bila sababu ya maana.
5. Mawakala wa vyama husika wasaidiwe kuwepo katika vituo vyao. Wananchi wahakikishe vitambulisho vinapatikana mapema na hawazuiwi kuingia katika kituo chao.
6. Maboksi ya kupigia kura yawe transparent na mawakala waruhusiwe kuyapiga picha.
7. Kura zihesabiwe kwa uwazi mbele ya mawakala katika kituo cha kupigia kura. Mawakala wapewe fomu za matokeo na waruhusiwe kuzipiga picha na kuzituma kwa chama chao.
Yote haya yasimamiwe na wananchi.
Amandla...
Mnataka kumuongezea muda hadi 2028 halafu ndio uchaguzi ufanyike. Mnataka kumpa miaka mitatu ya bure. Akishinda atakuwa amedumu kwa miaka 13 unless mshindi wa uchaguzi huo atawale kwa miaka miwili tu ambapo kama atashinda mwengine atakuwa amepinjwa.Yan sisi tunataka tumuondoe Rais uchaguzi ujao ww unafikiria ashikilie nchi had 2030...labda kwa kuiba kura kama walivozoea...No reforms No elections
Katika uchaguzi wa 2020 kuna wagombea waliozuiwa kurudishwa fomu. Boni Jacob aliambiwa amefukuzwa uanachama wa Chadema hivyo amepoteza sifa. Kuna wengine waliambiwa mgombea wa Chadema ameisha chukua fomu kwa hiyo hawezi kupewa fomu nyingine. Kuna waliokuta ofisi za Msimamizi zimefungwa au Msimamizi hayupo ofisini hivyo walishindwa kuziwasilisha kabla ya deadline. Mkurugenzi alijitokeza baada ya deadline na kutangaza kuwa mgombea pekee aliyewasilisha ndani ya muda ni wa CCM. Utagombea vipi kama hata fomu haujawasilisha?Hapana kumbe kuna vitu bado hujavielewa.
Ni kwamba kunyimwa nafasi ya kurudisha fomu siku kikwazo pekee.
Utaratibu uliopo ni kuwa hata ukifanikiwa kurudisha fomu bado haikupi guarantee wewe ya kujihakikishia kuwa utashiriki kugombea.
Ni kwasababu ni mpaka huyo mkurugenzi aziwasilishe hizo fomu zenye majina yako kwenye vituo husika vya kupigia kura.
Kwa hiyo ishawahi kutokea watu wamerudisha fomu lakini waliooenda siku ya uchaguzi, msimamizi akasema siwatambui kwasababu hampo kwenye orodha.
Kuhusu kuenguliwa.
Hili kwanza linaanzia kwako wewe unaye hoji. Je binafsi yako una amini kuenguliwa kwa wagombea wa upinzani kuna tokana na wao kufanya makosa wakati wa kujaza fomu?
Je una amini kuwa ni CCM wote 100% ndio wenye huo uwezo wa kujaza fomu kiusahihi?
Ikiwa kama una amini hayo mawili hapo juu basi hizo suluhu za ulizodai wazifuate zinaweza kuwa na tija.
Lakini kama kuenguliwa kunakuja kutokana na mpango maalumu wa kisiasa kuhakikisha upinzani wanakosa nafasi za kugombea basi hiyo haiwezi kuwa suluhisho.
Kuhusu mawakala kuwepo kwenye vituo na kuhakikisha kura zinapigwa kwa uwazi na kuzuia kura feki
Nadhani kabla ya yote kwenye hili swali tujiulize ni nani mwenye uwezo wa kumzuia polisi mwenye silaha ambaye amebeba kura feki?
Nani mwenye huo uthubutu?
Kwasababu tumekuwa tukiona vyombo vya ulinzi ndio vikiwa vimepewa hilo jukumu la kusambaza kura feki.
Sasa ukizingatia kauli yako ya aaali ya kulinda Demokrasia unawezaje kulinda kura katika mazingira kama hayo at the same time uwe umelinda na Demokrasia?
Ndio maana nasema kuwa uchaguzi hata uwe 2028 hautakuwa tofauti na zilizopita. Ni kujidanganya tu kufikiria vinginevyo.Haya uliyoandika hapa ndio yasiyotakiwa na ccm. Na hapa ndio ulipo msingi wa madai yao ya halali.
Unajua tusifike mbali tukaji pofosha kupitia bias zetu kujifanya hatujui kabisa kinachoendelea kwenye kipindi cha uchaguzi.Katika uchaguzi wa 2020 kuna wagombea waliozuiwa kurudishwa fomu. Boni Jacob aliambiwa amefukuzwa uanachama wa Chadema hivyo amepoteza sifa. Kuna wengine waliambiwa mgombea wa Chadema ameisha chukua fomu kwa hiyo hawezi kupewa fomu nyingine. Kuna waliokuta ofisi za Msimamizi zimefungwa au Msimamizi hayupo ofisini hivyo walishindwa kuziwasilisha kabla ya deadline. Mkurugenzi alijitokeza baada ya deadline na kutangaza kuwa mgombea pekee aliyewasilisha ndani ya muda ni wa CCM. Utagombea vipi kama hata fomu haujawasilisha?
Amandla...
PumbaNinavyoelewa mimi ni kuwa kama hapatakuwa na mabaliko katika mfumo na utaratibu wa chaguzi zetu basi hapatakuwa na uchaguzi. Kimsingi sio wazo baya ila panahiajika ufafanuzi. Nina mawazo yafuatayo:
1. Nani ataamua kuwa reform zilizofanyika ni za dhati na zitaleta kweli mabadiliko. K.m. zimetangazwa nafasi za wasimamizi wao uchaguzi ila ukiangalia sifa zinazotakiwa ni kuwa ni walewale watarudi ingawa mabadiliko yamefanyika.
2. Nini maana ya "No elections"?
Hii inaweza kutimizwa kama wapiha kura hawatajitokeza. Hii ni ngumu kufanikiwa bila kutumia nguvu ( kuwazuia watu kutoka au kufunga vituo vya kupigoa kura) kwa sababu wako watu wengi tu ambao wangependa kupiga kura na hamna quorum ya uchaguzi.
Namna nyingine ni vyama vyote vya upinzani kugomea uchaguzi. Hili nalo ni ngumu kutimizwa maana kuna vyama vitaona ni fursa kutokana na vyama vikubwa vya upinzani kutoshiriki. Na hamna mahali panaposema kuwa uchaguzi unapoteza uhalali kama vyama fulani havitashiriki.
Mtego mwingine ni wagombea wazuri wa Chadema kukosa nafasi ya kujinadi kwa wananchi kwa sababu sera ya chama chao inasema No Elections. Kwa sababu hiyo hata "reforms " zikifanyika uwezo wa kushinda utapungua. Lakini kwa upande mwingine wanaweza kupata kura zaidi kama shukrani kutoka kwa wananchi kwa kuleta mabadiliko.
3. Chadema itangaze kuwa itajitayarisha kushiriki lakini uamuzi wa kushiriki au kutoshiriki utafanyika baadae.
4. Wakati huo Chadema kifanye juhudi za dhati za kutibu majeraha kwa kuwasikiliza wale wanaoamini hawatendewi haki. Wanaweza kuanza na Njombe kuhakikisha kuwa hakuna anaejiona kuwa ni mtoto wa kambo na mwingine ndio mwana mpendwa.
Wakubali kuwa kuna wanachama hawakubaliani na hii sera kama ambavyo wako ambao hawakukubaliana na sera ya maridhiano. Wawaache tu waongee maana wataweza kuiboresha kutokana na majadiliano hayo. Waache vitisho visio na maana.
Amandla...
Wapi nimesema kuwa CCM hawakosei? Inaelekea haujasoma au haujaelewa nilicho andika.Unajua tusifike mbali tukaji pofosha kupitia bias zetu kujifanya hatujui kabisa kinachoendelea kwenye kipindi cha uchaguzi.
Tusifike hatua ya kuona kama kulikuwa na possible alternative kwenye hizo scenario ambayo ingezuia hayo yasifanyike na kudhani kama kuna sehemu wapinzani walizembea
Kwanza tuanze na wewe mwenyewe
Sababu hizo ulizozitaja kwako unaziona zina mashiko?
Kwamba wapinzani wote nchini ni wazembe kiasi hicho?
Na kwamba CCM pekee ndio watu makini sana ambao hawakosei?
Tuanzie hapo kwanza
Ninavyoelewa mimi ni kuwa kama hapatakuwa na mabaliko katika mfumo na utaratibu wa chaguzi zetu basi hapatakuwa na uchaguzi. Kimsingi sio wazo baya ila panahiajika ufafanuzi. Nina mawazo yafuatayo:
1. Nani ataamua kuwa reform zilizofanyika ni za dhati na zitaleta kweli mabadiliko. K.m. zimetangazwa nafasi za wasimamizi wao uchaguzi ila ukiangalia sifa zinazotakiwa ni kuwa ni walewale watarudi ingawa mabadiliko yamefanyika.
2. Nini maana ya "No elections"?
Hii inaweza kutimizwa kama wapiha kura hawatajitokeza. Hii ni ngumu kufanikiwa bila kutumia nguvu ( kuwazuia watu kutoka au kufunga vituo vya kupigoa kura) kwa sababu wako watu wengi tu ambao wangependa kupiga kura na hamna quorum ya uchaguzi.
Namna nyingine ni vyama vyote vya upinzani kugomea uchaguzi. Hili nalo ni ngumu kutimizwa maana kuna vyama vitaona ni fursa kutokana na vyama vikubwa vya upinzani kutoshiriki. Na hamna mahali panaposema kuwa uchaguzi unapoteza uhalali kama vyama fulani havitashiriki.
Mtego mwingine ni wagombea wazuri wa Chadema kukosa nafasi ya kujinadi kwa wananchi kwa sababu sera ya chama chao inasema No Elections. Kwa sababu hiyo hata "reforms " zikifanyika uwezo wa kushinda utapungua. Lakini kwa upande mwingine wanaweza kupata kura zaidi kama shukrani kutoka kwa wananchi kwa kuleta mabadiliko.
3. Chadema itangaze kuwa itajitayarisha kushiriki lakini uamuzi wa kushiriki au kutoshiriki utafanyika baadae.
4. Wakati huo Chadema kifanye juhudi za dhati za kutibu majeraha kwa kuwasikiliza wale wanaoamini hawatendewi haki. Wanaweza kuanza na Njombe kuhakikisha kuwa hakuna anaejiona kuwa ni mtoto wa kambo na mwingine ndio mwana mpendwa.
Wakubali kuwa kuna wanachama hawakubaliani na hii sera kama ambavyo wako ambao hawakukubaliana na sera ya maridhiano. Wawaache tu waongee maana wataweza kuiboresha kutokana na majadiliano hayo. Waache vitisho visio na maana.
Amandla...
Bila machafuko hakuna uwezekano wa kuwa na uchaguzi wa haki.Ndio maana nasema kuwa uchaguzi hata uwe 2028 hautakuwa tofauti na zilizopita. Ni kujidanganya tu kufikiria vinginevyo.
Amandla...